Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni excuse Ambati huwa inatumiwa Ku justify cheating behaviourMwanaume ni mtu Ambae anatafuta ridhki zake sehem zenye heka heka na makelele ivyo akilud nyumbani anaitaj utulivu wa Hali ya juu kupumzisha mwili,ila akilud nyumbani akakuta mikelele Tena kama alipo Toka kazini baasi apo ndo linapo Anza tatizo, mwanaume ni kiumbe ambacho akipend makelele akiwa mapumzikoni.
Nawakilisha hoja kisomi kabisa😂🙏🏽.
Bora wewe msema kweliSio nature ya wanaume bali ni tabia mbaya ya baadhi ya wanaume
Ndio ,tupo.Hiv Kuna wanaume ambao hawachepuki sikuhiz😃
Maana mnawapa kiurahisi so anaenda kuongeza idadi ya wengine piaUnakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Swali halina usawa wa kijinsia,. Wanawake nao ni 🔥 vilevile,. Ila kwakuwa umependa tujadili Kwa wanaume Leo basi NAMI nawahimiza wanaume tuoe wake wawili au watatu na mwisho wanne. Kuchepuka ni dhambi kubwa sana.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Bi zandile we acha tu,Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Upi huo? Hakuna mwanaymwenye mke moja la sivyo huyo dume ana mapungufu, mgonjwa.Usilazimishe na wengine waingie kwa mtazamo wako
Hii sio sababuChanzo kikuu cha wanaume kuchepuka ni kubaniwa tendo la ndoa
Mdada kuwa mzuri katika ndoa sio kila kitu. Shida wadada mkishaolewa mnaanza kuchukulia mambo poa, mnaanza kuweka ratiba za kubanduana
Kwanini unaweka ukomo wa kuoa acha kuishi kwenye fikria za wajinga na wapumbafu wa diniSwali halina usawa wa kijinsia,. Wanawake nao ni 🔥 vilevile,. Ila kwakuwa umependa tujadili Kwa wanaume Leo basi NAMI nawahimiza wanaume tuoe wake wawili au watatu na mwisho wanne. Kuchepuka ni dhambi kubwa sana.
Huu ndio ukweli muukatae muukubuliHii ni excuse Ambati huwa inatumiwa Ku justify cheating behaviour
Mwakasege ana mke mmoja tu anaitwa Diana, hana mchepuko unalijua hilo?Upi huo? Hakuna mwanaymwenye mke moja la sivyo huyo dume ana mapungufu, mgonjwa.
Wewe unajua uzuri wa mke ni nini aswa mkuuUnakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Mwanamke hapaswi kuuliza ama kuulizwa swali kama hilo.Wewe unajua uzuri wa mke ni nini aswa mkuu