Baba Kisarii
JF-Expert Member
- May 7, 2024
- 1,844
- 3,089
Mod wangepita na wewe kama usingetumia code mamaee 😂Mtandao pendwa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mod wangepita na wewe kama usingetumia code mamaee 😂Mtandao pendwa..
Vichaa tu hao mods, kula kulala.Mod wangepita na wewe kama usingetumia code mamaee 😂
Hatari sana sweetheart...
Wanawake hawachepukagi wnawake wanatunzwagwa tu kama mume hajui majukumu yake
Mungu ameumba hivyo - kuwa na mke mmoja ama wawili ni umaskini tu.Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Jua leo kwamba hatuchepuki tumeenda tu kusitiriwa , wanaume ndio wanachepuka
Ulishawahi kuona mtu anaenda kununua nguo akiwa uchi??? au wewe kununua nguo inamaanisha huna nguo??Unakuta mkaka ana mke mzuri mwenye sifa zote za uzuri lakini hatulii kwa huyo mkewe, anachepuka na mdada mwingine tena wa kawaida tu.
Kwa nini wanaume huchepuka?
Hatari sana sweetheart...
Ila sasa kama unatunzwa weh ukitoka njee ya mahusiano basi unachepuka sijui unanielewa
Endelea nakusikilizaUlishawahi kuona mtu anaenda kununua nguo akiwa uchi??? au wewe kununua nguo inamaanisha huna nguo??
Weka hapa uthibitishoMungu ameumba hivyo - kuwa na mke mmoja ama wawili ni umaskini tu.
Nitawapata wapi hao?Bi zandile muulize adam,sulemani hawa wakijibu nimejibu swali lako
Kwa hiyo unamaanisha thamani ya mwanamke ipo kwenye chupi?Jua tu hayo ni maumbile ya asili ya mwanaume ujiulize tu kwanini hawa tunaoita waziri hapa kwetu hawaolewi na wakiolewa hawamalizi miaka mitatu,fahamu pia uzuri wa mwanamke ukiwa haujamvua nguo ukishamvua ndani ya miezi mitatu thamani haipo ndio maana tunahitaji mwingine