Tena hasa hawa wliojichanganya kuoa waajiriwa wana stress za kufa mtu wee acha tu, wanachapiwa na la kufanya hawana kuna mmoja jiran yangu alikuwa anaongea peke yake mzee wa watu hakupita muda yakamshinda kamwachia mke kila kitu kaenda kuanza maisha mapya, anasema mke alitaka kumpa kesi ya kubaka ili akafie jela!