Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Nashukuru kwa hii shule mutlibu. Wengine shule zetu tulihangaika na makalkuleshen zaidi.

Ntazingatia, ahsante.

haahaa! Mzee wetu inaonesha ww ni kichwa sana kwenye mabo hayo........ Nmeona umejaribu kuongea ukweli ambao unafichwa na hawataki kuukubali. Kweli ww kama Warioba
 
wengi wa wanaochepuka huwa wana dushelele kuanzia nchi 6.5 na kuendelea

fuatilia hii case study utaniambia kuwa ni kweli.

yani ukishasifiwa tu na Munkari, basi utataka ichana, sweetlicious, preta, karucee, na king'asti wajue!

lazima uchepuke tu kutangaza ubingwa..
aiseeeeee
 
hulka na mentality potofu za wanaume tulio wengi kuwa urijali ni kuwa na wanawake wengi illegaly na kumpata msichana yeyote umtamaniye no matter what?
 
Ungekuwa unajali familia yako usingekuwa unachepuka. Kwa kujali unamaanisha financial support? Muda na pesa ambazo ungekuwa unatumia kuwa closer na familia yako, na mke wako, unatumia nje. Just because you make up for it later doesn't make it right, bottom line.

FYI hakuna midume inayojali familia zao kama michepukaji. I tell you me.

Umenifurahisha kwa kusema ukweli. Wanawake wengi wanajua midume yao inacheat. Wengine wanavumilia, wengine wanakosa ushaidi. kama pia ambavyo wanaume wengi wanajua wake zao huchepuka sema tu hawana muda na wengine hawataki kufuatilia.

binadamu hachungiki wala hafugiki. huo ndo ukweli halisi.
 
Wanaume wanafanyana wao kwa wao? Hapa kuna wanaojifocha sana wakichepuka na wanaojificha kiasi. Jinsia zote wachepukaji. Kumbuka pia idadi ya wanawake ni kubwa kuliko wanaume.
 
hahaha u made my day "njia kuu ina foleni" lol
 
Tamaa tu!!!!!! si unaona hata jogoo anapenda kuwa na majike mengi ili aonekane tu na yeye anajua kufanya jike atage.

sababu nyingine wanasababisha wanawake wakisha olewa wanaanza kutoa papuchi kwa mgao kama wa umeme. Mwanaume ambaye haumwi, hana shida ya pesa ndogo ndogo, anakula vizuri anauwezo wa kupiga mechi atleast kila baada ya siku 2 kama sio kila siku sasa ukianza kumpangia unategemea nini
 
Jeez!!! kumbe? Ustaarabu wako umeupeleka wapi tena bibie? Haya maneno umeyaandika wewe? Afu kweli unanambia mi bado nakua? You are not fair aisee.

Hahaaaa umeona mkuu huyo mama nadhani ni wale akina mama ntilie wa Mwananyamala... Hana ustaarabu... Mzaramo huyo
 
kwetu tunaita kurumbembe..............

Hehehehee..bado una hasiraa yalikuongiajee??..ita vyovyoytee bt ukweli nishakupaa limbukeni wewee bdala ufanye kazi kuongeza kipato kuendekeza ngono afu unataka uheshimike.akuheshmu nani kwakwakwaaa
 
Hahaaaa umeona mkuu huyo mama nadhani ni wale akina mama ntilie wa Mwananyamala... Hana ustaarabu... Mzaramo huyo

Yaan wewe ndo ungenyamaza kabsaa unajichoresha tuu hapa jinsi ulivyo punga.old mentality ..hao wanaopika mwananyamala na wazaramo unaowatukana hujawazdi lolote anyway ungekuwa mstaarabu usingetoka povu hapa kugombania kufanywa na wanaume wwnzakooo
 
Hahaaaa umeona mkuu huyo mama nadhani ni wale akina mama ntilie wa Mwananyamala... Hana ustaarabu... Mzaramo huyo

It takes a witch to know a witch.. wewe sasa nimeamini wewe jike..unashndaga nao hao kna mama ntillie na wazaramo ndio maana unawajua kuwa hawana ustaarabu..heheheeh jamani kikwwte say something puliziiii uwii kama museven uku hali ni mbayaaaa....
 
Hehehehee..bado una hasiraa yalikuongiajee??..ita vyovyoytee bt ukweli nishakupaa limbukeni wewee bdala ufanye kazi kuongeza kipato kuendekeza ngono afu unataka uheshimike.akuheshmu nani kwakwakwaaa

hvi ww ni kichaa?! Nmewahi kukulala mpaka uongee kuwa napenda ngono?!............ Acha maneno ya ajabu mwanamke usijekunifanya nikapigwa ban bure
 
It takes a witch to know a witch.. wewe sasa nimeamini wewe jike..unashndaga nao hao kna mama ntillie na wazaramo ndio maana unawajua kuwa hawana ustaarabu..heheheeh jamani kikwwte say something puliziiii uwii kama museven uku hali ni mbayaaaa....

Unaidhalilisha jinsia KE bila kujua ujue. Tafakari.
 
Back
Top Bottom