Kwanini wanaume huwa na michepuko?

kwa wanaoruhusiwa mke zaidi ya mmoja....je wamepewa muda mpaka waanze kutafuta mke mwingine?
N/B...THERE IS NOTHING EITHER GOOD OR BAD ...BUT THINKING MAKE IT SO.....

................k........
 
Na maisha haya yalivyo magumu..hzo hela za kuchepuka unge peleka familia yako ma vanace ukoo si unge enjoy na kujipatia baraka tuu Kwa kufurahisha na kunawilisha mapenz katka familia yako..wanaume Wa kiafrika bwana mi ndo maana walinishinda ..hawana mahaba at all ..not creative yaan ni shidahh..ata kuiga Kwa wenzao hawawezi ..embu badilikeni jamani mnawatoa hamu wake zenu
 

Laiti kuta zingekuwa zinasema.....
 

Ewaaa sasa unaanza kuelewa. Waafrika tutabakia kuwa waafrika kwenye masuala ya mahusiano. Mchepuko kwa mwanaume wa kiafrika ndio jadi yetu....
 

Unanikumbusha ule wimbo wa Kandi "Don't Think I'm not". Mnafikiri wake zenu ni generation ya mama zenu. A woman knows, basi tu wanawaachia sababu wanajua hata mkiwakamata siku moja itabidi usamehe sababu wanajua you are also guilty. All the best. Muda wa familia mnapata wapi kama bado wakimbizana na watu huko nje?
 
Umeona eeh, tunatamani tutulie lakini tunachoka, unatamani ladha nyingine

Kumbe hata nyie mnachoka? nilifikiri ni sisi peke yetu! Basi ni vizuri kuambizana ili tukichepuka tusileteane magonjwa na watoto wa nje
 
kiukweli yaan mtusamehe hebu tuchukulien kuwa huo ndio ulemavu wetu lakin mwanaume kubaki njia kuu hyo ngumu mchepuko haukwepeki ila semen tupunguze

Loh loh msipunguze, manake hata sisi tumegundua kuchepuka ni deal! Mkipunguza tutawashinda soon!
 
tatizo ni tamaa zimewajaa baaz ya wanaume, mtu hawez kuridhka na mke wake, ila watambue kuwa watamaliza bucha zote ila nyama ni ileile, zaidi wataambulia maradh tu
 
tatizo ni tamaa zimewajaa baaz ya wanaume, mtu hawez kuridhka na mke wake, ila watambue kuwa watamaliza bucha zote ila nyama ni ileile, zaidi wataambulia maradh tu

Maradhi na aibu kukutwa guest uchii limejifia unakuja kuokotwa na wanao.sio tamaa tu balehe bado znawasumbua wengne ata uwaambieje hawaelewi.asa hili nalo ni somo gumu kweli mtu asielewe?wenyewe wanaona sifa lol bnadamu tumetofautuana kweli
 
Mtoto: babaa!
Baba: unasemaje mwanangu Kidole?
Mtoto: mbona nikitoka shule huninunulii soda na chips kama anko Kidevu?
Baba: Mama kidole!
Mama: abee mume wangu!
Baba:Huyu anko kidevu ni nani?
Mama: hata simjui
Mtoto: mama chi yule anakuchumgi kwenye gari alafu anasema a lavi yu tu?
Mama: we mtoto wewe!
Baba: aisee huyo anko kidevu huyoo.
Back to the topic, Michepuko ni kwa watu wote siku hizi.
 
Hilo nalitambua manake waume za watu wanaonifata hawana idadi,
Mie naogopa sana kuigia kwenye hicho chama maana kuvumilia usaliti sitoweza.

Huwezi nini wakati ume support huku ukijustfy kwamba uko radhi mumeo achepuke ila akuheshimu na kukupa mahitaji yote muhimu?
Nilivoona ile comment nikawaza ulivojishusha na ku settle for less mtoto wa kike!
 

Tena wanaume wanahongwa wanawake wanahonga!!hapo chacha yakifanywa mashindano nani zaidi
 
Huwezi nini wakati ume support huku ukijustfy kwamba uko radhi mumeo achepuke ila akuheshimu na kukupa mahitaji yote muhimu?
Nilivoona ile comment nikawaza ulivojishusha na ku settle for less mtoto wa kike!

My dear Cyan6 nahisi umeniquote vibaya,
wallah sijasema hayo wangu,hebu rejea hiyo comment uliosoma nimejustify,
mimi i don't entertain a cheater,once umecheat nikajua,it's over regardless of the consequences.
 
tatizo ni tamaa zimewajaa baaz ya wanaume, mtu hawez kuridhka na mke wake, ila watambue kuwa watamaliza bucha zote ila nyama ni ileile, zaidi wataambulia maradh tu

Nakubaliana na wewe,huwa najiuliza maybe wanafikiri ndoa ni rehearsal na kwamba kitu halisi is yet to come,
wanatuumiza sana tena sanaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…