Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wamtetea....


Think about it. Ingekuwa umeanzisha mada kwa nini wanaume wengi wanakuwa mashoga labda ungekuwa na hoja. lakini suala la kuchepuka..ni la wawili..mtu mume na mtu mke.

Now,
- kuna waume za watu wanachepuka
- kuna wake za watu wanachepuka
- kuna wachumba wanachepuka (refer: alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi..)

So, ukiona wanaume wengi wanachepuka ujue pia wanawake wengi wanachepuka pia!
 
Think about it. Ingekuwa umeanzisha mada kwa nini wanaume wengi wanakuwa mashoga labda ungekuwa na hoja. lakini suala la kuchepuka..ni la wawili..mtu mume na mtu mke.

Now,
- kuna waume za watu wanachepuka
- kuna wake za watu wanachepuka
- kuna wachumba wanachepuka (refer: alilala na bibi harusi siku moja kabla ya harusi..)

So, ukiona wanaume wengi wanachepuka ujue pia wanawake wengi wanachepuka pia!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nyie mmezid

chaaa!
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!

Wanawake wanaboa na siku zote huwa wanakinaisha
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!

Jifunze tabia za viumbe vyote wa kiume!
 
Itawezekana pale wanawake watakapo kataa kutembea na mabwana za watu kwa makusudi
Hapa si unakuta wengine huwa tunawadanganya kuwa hatujaoa kumbe tuna ndoa zetu!Kuna wengine akija kugundua kuwa una mke anaachana na wewe hasa kama ulikuwa unampa hela mbuzi,kama ulikuwa unamuhonga mijihela mingi hata akijua una mke hatoachia ngazi ng'o!!!
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Ukifanya utafiti wa Kisayansi utagundua ni kwanini!!!
 


Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
 
Back
Top Bottom