Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Kwanini wanaume huwa na michepuko?

Mademu michepuko huwa ukiwaomba game muda wote wapo poa tu ila sasa mke atakuzungusha weee muda mwingine unaanza hadi mtongoza tena wakati ni mkeo kabisa
 
Kizazi hiki kimepotoka sana, swala la kuchepuka halina jinsia kwa sasa, na ndio maana unakuta wanaume wengi wanalalamika, zamani rate ya wanawake walio ndoani kuchepuka ilikuwa ndogo sana, sasa hivi watu wenye ndoa wanachepuka zaidi ya wachumba.

Nilipata story ya dada mmoja aliamua kuchepuka wakati mchumba/mume wake yupo kwenye kitanda cha mauti(a dying fiance). Kwa sasa hakuna mwenye nafuu.
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!

wewe mwanamke mmoja hawezi akawa na sifa zote mwanaume anataka. unaweza kuwa mzuri lakini u not gud in bed. unaweza kuwa gud in bed but u not smart.
alafu suala la kutokusamehe....wewe mandelea kawekwa jela miaka 27 na wakaburu lakini aliwasamehe, ila mkewe winnie alivyogegedwa tuu akaona hafai. thats how it is lady. sasa u need to ask urself what is it about u ladies that make u tolerate wachepukaji
 
Mkiolewa mnadengua sana mambo mnatoa kwa ubanizi, viuono mnaweka ambao yaan magogo. Mnanepepeana kama miguruwe tukiwaambia mfanye mazoez mnakuwa wakali.halafu heshima mnapunguza na vibur vinawajaa. Mlikuwa kila wiki mnajinunulia chupi mkiolewa mpaka zinakuwa nyekundu katikati. Mchepuko aah akisikia unakuja mwee aisugua na still wire mpaka inanoga. Mchepuko anajua Julia hata kam ni kiwizwiz, anakatika
 
Heloo...!

Kaka zangu naomba niwaulize hivi kwa nn wanaume wengi walio kwenye ndoa, au mahusuano na wenza wanakua hawaridhiki na kua na vimada nje?!

Tatizo ni nini...?!!hamtoshelezwi?tamaa,hulka au ndo asili ya wanaume kua na wanawake wengi?!

Kwa utafiti mdogo tu niliofanya kuanzia baba yangu,wajomba zangu,majirani zangu wenye wenza wao na wafanyakazi wenzangu wengi hao wanaume wana michepuko.

Wengine wake zao wazuri,kisura,kiumbo mpk tabia Ila vinamnyenya mpk anatafut kimada..

Ila ninyi wanaume mkihisi mmegongewa tu ni shida mnoo na hamna ht msamaha..

Ila ninyi mnafanya na mnasamehewa..

Kwa nn hamridhiki lakini na wake zenu...!!????

Mungu anawaona lakini na ss wadada tunawakubali tu hakuna namna usawa ushakaba huu!Japo ni waume za watu!

Au ndo ule msemo MWANAUME BILA NYUMBA NDOGO NI SAWA NA TAIFA LISILO NA UPINZANI..!!

Ila taifa lisilo na upinzani lawezekana tu si km Korea Kaskazini!
Inawezekana kabisa mwanaume kuishi na mkewe bila ya kuwa na kimada/nyumba ndogo. Tatizo letu sisi wanaume ni kuendekeza tamaa. Mwanaume anayeendekeza tamaa za ngono, kila anapomuona mwanamke ambaye yeye anahisi ni mzuri, kitu cha kwanza kinachoingia kwenye akili zake ni "sex". Mbaya zaidi, kutokana na kumung'unyika kwa maadili siku hizi ambapo ninyi wadada mnatembea nusu uchi ndio kabisa mmefanya wanaume wenye tamaa kuharibikiwa zaidi. Mwili wa mwanaume yoyote yule rijali huwaka tamaa sana hasa pale anapoona sehemu za mwili za mwanamke ambazo hazikupaswa kuonekana, isipokuwa tu anapokuwa chumbani. Wanawake mnachangia kwa kiasi kikubwa sana kuwafanya wanaume washindwe kuzitawala tamaa zao. Na katika hili, mna kesi ya kujibu siku ile atakapokuja Mwana wa MUNGU, YESU KRISTO, sababu mnawatia wanaume majaribuni kwa aina ya mavazi mnayovaa.
Lakini kila mwanaume akiamua kujitawala na kuzuia tamaa zake anaweza kabisa kuyashinda majaribu haya, hata kama akimuona mwanamke yuko uchi kabisa. Kila aina ya tamaa huanzia kwenye ubongo. Ukiweza kuzitawala akili zako, basi utashinda kila kitu. Lakini ukiziachia akili zako zikutawale, ndio utasikia mtu anamlala hata mtoto wa miaka 2.
 
Ticha unatubip sio,mwanaume ukiwa n nguvu za kiume yani tough wallet lazma wadada wakusumbue ili uwapunguzie ukata,sasa tusipokua n michepuko mnasema tumerogwa n wake zetu
 
Ticha unatubip sio,mwanaume ukiwa n nguvu za kiume yani tough wallet lazma wadada wakusumbue ili uwapunguzie ukata,sasa tusipokua n michepuko mnasema tumerogwa n wake zetu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hakuna lolote mnajiendekeza tu

ukimkataa kuna ubaya..

sema mwapendaa
 
Na akisema amwache mkewe amwoe mchepuko bado atachepuka tena,nahisi wanachokitafuta hata wao hawakijui
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji3] [emoji3] [emoji3] kweli Je!

yaani ulijuaje...!!

hawa viumbe aliyewaumba ndo anawafahamu!
 
Back
Top Bottom