Mzee makoti
JF-Expert Member
- Jul 27, 2016
- 3,482
- 4,673
Inakuwa Kama unapuliza Moto aiseeKwanini wanaume tukinyoa mustache (sharubu) sura inabadilika unakuwa mbaya. Yaani kwakweli natamani nisinyoe, maana unakuwa unaonekana kama nini vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inakuwa Kama unapuliza Moto aiseeKwanini wanaume tukinyoa mustache (sharubu) sura inabadilika unakuwa mbaya. Yaani kwakweli natamani nisinyoe, maana unakuwa unaonekana kama nini vile.
Mimi sinyoi kwa fundi ndevu au sharubu.Watu ni wehu kweli, mfano mm juz kat nilienda kunyoa boya kaniharibu kabisa mstachi wangu! Yaan jitu unalielekeza usiweke nyembamba Sana basi jitu linajifanya linanyoa mpka linakubaribu matokeo yake inakubidi unyoe tu zote au kipara kabisa! Vinyoz wetu wajinga sana
Sent using Jamii Forums mobile app