Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

sana .ni handsome balaa sio wa sport sport .yupo cool japo nina machale mi sipendi kudate wanaume wazuri wazuri.sidhani kama hana mtu yule jamaa
Miss natafuta,njoo nikupe pumziko la milele mtoto mzur,
Walaaah nitakulea kama yai...,hautafuta chozi hata sku moja,njoo mtoto mzur!
 
I want you to make me feel a Better man ,, I want you to be a woman nayeweza kujiproud of kua naye .
I want you to be the really sign of my love .
Nakuitaji uniwakilishe .,naitaji unifanye nijisikie mwanamme mweny kujiamin zaidi na a comfortable one .

Sasa kwann usibadilike kwa ajili yangu ?? Ukimpenda mtu lazima ubadilike kwa ajili yake .... Lengo lakukuambia achana na JF nisababu nataka kukushape uwe mwanamke unayenifaa zaidi .

That's my simple rule.
Simple math,we mchoyo na technology.
 
Back
Top Bottom