Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Labda kwa nyongeza ....In all you do or talk about no matter here in JF unaitwa Miss Natafuta au miss nani .....

Nitakutongoza huku najua you are the really woman ambaye nitakutana naww lkn kichwan nikijua Umwanamke Wa aina gani .

Sasa nitakapojaribu kukushape , ili nijaribu kuamin labda haupo vile ambayo you used to be inJF , namm nakubadilisha kwalengo lakunifaaa.

Usiponielewa ,Noway out dear ,,lazima nile mzigo kisha nisepe tuuuuu..

Take it ,,, mwanamme anapenda kua namtu ambaye watu watamsifu maana tunapenda sifa ..... Sasa wew hum JF kila MTU anakuona muhuni kwamaneno ako though SIO MUHUN ila maneno yako yanawaaminisha ivo ,, IVI UNADHAN MWANAMME GANI ,,ATAAMUA KUKUWEKA WAZ KUA FULAN NDO MPENZI WANGU MKE WANGU MTARAJIWA ????????. ZAIDI YAHAPO ATAJARIBU KUTAFUTA SULUHISHO EITHER UTOKE JF AU UJE NA ID MPYA.

tunarudi kule kule ,, Ukifanyacho Leo ,, ukisemacho Leo ,, ndicho kitakachokulipa kesho.

Da de di do Du.
True mwamba, naona unawakilisha vyema maoni ya vidume wenzako
 
Sasa kama yeye alikupata humu kwa hela ya chips, wengine watashindwaje?
 
Mungu wetu sote ndugu, vipi kwa upande wako? Naona unatoa somo murua kwa dada zetu hapo
Eeehhh najaribu kuwaelezea waendane nanyakat ...though wana ubishi usokua nafaida.

Kwangu ,mambo nimurua ndugu yangu ,,, mwaka ndo huoooo unaishia , tunataka kufunga mahesabu ya mwaka !!.
 
Back
Top Bottom