Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora uwe na mzuri tu,,hata ukimuona nyege zinakuja harakausicheke shogaa.mwanaume mbaya ana raha yake ,mwanamme mzuri ana ubaya mwingi tu
Ndio maana anataka utoke sio kwa kuita baby hapai think so baby .sehemu za watu wazima hizi
mimi napenda kibamia so sio issue . the way alivo handsome ni kama hatuendani hivi.halafu ni mjanja mjanja mimi mshamba yaani acha tu majanga
Ntambomoaa mwambieWe umejuaje hakuna kibamia?
Au we ndo muhusika mwenyewe nini
We usifanye usiku nikakosa vitu,,futa
Bora uwe na mzuri tu,,hata ukimuona nyege zinakuja haraka
Mwanaume mbaya nyege hazijiAhahahaaaaa we ushalewa hiyo Hennessy eeh? Shammy anakuharibu wewe.
anayo ya chuma???mimi siwezi msaliti mtu wangu lakini
Mwanamme mbaya yupoje ?Mwanaume mbaya nyege haziji
sana .ni handsome balaa sio wa sport sport .yupo cool japo nina machale mi sipendi kudate wanaume wazuri wazuri.sidhani kama hana mtu yule jamaa
Mwanamke mbaya yupojeMwanamme mbaya yupoje ?
Hahahahanayo ya chuma???
Come'onMwanamke mbaya yupoje
Labda kwa nyongeza ....In all you do or talk about no matter here in JF unaitwa Miss Natafuta au miss nani .....hv unadhani nikiwa na mpenzi humu naweza kuchangia vitu ovyoovyo? kwanza huo muda nitautoa wapi? wengine tupo huku kwa sababu ya upweke tu kupoteza muda
Mambo mrembohv kwanini wanaume mnaotutongoza humu mnataka tukianza mahusiano tujitoe humu?