Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

kwani kukaa kwangu jf unadhani itanifanya nisiwe patner mzuri? if yes why?
Kukaaa kwako JF kwananmna Moja kunaweza changia usiwe a good partner kwangu.

Kivipi ,, Michango unayotoa humu !!!!! Haiwezekan niendelee kukuona wamaana ,, kama utakua MTU wakushabikia ujinga like mihogo na vibamia ,,, kutaja taja maneno yakipuuzi km Papuchi ,, oohhh papuchi nn ,, ujue kuna maneno fulan humu mjayatumia ,, Kwa mwanamme muoaji huwa tunawaona km wazenguaji TUUUU ,, ila kwa wanaume wapigaji huwa wanawashabakia sana nakuwaunga mkono.

Kwaufupi ,,,ukiona mwanamme hataki uwe JF nisababu hataki uendelee kuwa vile ,, kwanza anaanza kukufanya ujue majukum yako .... nakama ataamua kukuacha humu basi huwa kuna mambo lazima akuambie kua Hataki ayaone ukiyazungumzia au kuyashabakia .

Ndio maana humu JF ,, kuna wanadada wao kila siku wanaongea mambo muhimu sana nahuwezi kuta anashabikia sijui vibamia sijui hogo .
Lkn pia wamo ambao kuongelea izo mambo kwa wanaona kawaida Lkn kiukweli ndo huwa zinawaharibia credit nakukatisha tamaa waoaji.


Weee nimwanamke unaanza kusema humu ** duuuhhhhhh nmejikuta kisimi kinanisimama au daaahhh mpaka nyege zimenishika *** .


Sasa kwa wanaume makin,,tayar hujafuzu ,,ila kwa wanaume wapigaji ,, atakuunga mkono,, Mara atakuombamo mchezo ,,anapiga show ..mchezo kwisha ,,kesho unakuja kuanzisha Uzi unalia lia humu ...
NAHIVO NDIVO WENGI MLIVYOLIWA NAVIJANA WAHUMU KIUJANJA UJANJA .

nadhan umenielewa mama yangu !!.
 
Sasa kama anauwezo wa kukumake ufeel better man na mengine mengi kuna haja gani ya kumstopisha jf ilihali hii ndo njia iliyowakutanisha?
Well ,,sisi wanaume niwatu ambao tumejawa nawivu sana even ktk mambo madogo madogo ,ambayo nyinyi wanawake mnayachukulia simpo.
.tumekutana JF ,, kila mmoja anaiman yake juu ya JF ,, tumeamua kua wapenzi .

Yes unanifanya nifeel a better man ,, lkn hunifanyi Nijihisi so Respected . kwan nani amekuambia sisi wanaume tunaangalia mapenzi tuu??? Mwanamme anataka HESHIMA ,,KTK HIYO HESHIMA UNAYOMPA ANAJIONA MWENYE KUOGOPEKA NA WANAUME WENZAKE.

sasa unasema unanipenda ..lkn ukichat humu Mara oohhhhhh Unamuita MTU. Baby ... My... Naviluga vyenu ,,, ukiulizwa unaanza ooohhhh yule jaman si niPutin tuuu jaman kwan humjui ???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .

Wenda ndio mnataniana ,,lkn Mimi Vladimirovich kutokana namazingira tulokutana ,, nitabaki kua wamwisho kuamin Putin ni mshikaji wako tu km walivyo wadada wenzako.
 
Well ,,sisi wanaume niwatu ambao tumejawa nawivu sana even ktk mambo madogo madogo ,ambayo nyinyi wanawake mnayachukulia simpo.
.tumekutana JF ,, kila mmoja anaiman yake juu ya JF ,, tumeamua kua wapenzi .

Yes unanifanya nifeel a better man ,, lkn hunifanyi Nijihisi so Respected . kwan nani amekuambia sisi wanaume tunaangalia mapenzi tuu??? Mwanamme anataka HESHIMA ,,KTK HIYO HESHIMA UNAYOMPA ANAJIONA MWENYE KUOGOPEKA NA WANAUME WENZAKE.

sasa unasema unanipenda ..lkn ukichat humu Mara oohhhhhh Unamuita MTU. Baby ... My... Naviluga vyenu ,,, ukiulizwa unaanza ooohhhh yule jaman si niPutin tuuu jaman kwan humjui ???[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] .

Wenda ndio mnataniana ,,lkn Mimi Vladimirovich kutokana namazingira tulokutana ,, nitabaki kua wamwisho kuamin Putin ni mshikaji wako tu km walivyo wadada wenzako.
Okay nimekuelewa boss
 
Kukaaa kwako JF kwananmna Moja kunaweza changia usiwe a good partner kwangu.

Kivipi ,, Michango unayotoa humu !!!!! Haiwezekan niendelee kukuona wamaana ,, kama utakua MTU wakushabikia ujinga like mihogo na vibamia ,,, kutaja taja maneno yakipuuzi km Papuchi ,, oohhh papuchi nn ,, ujue kuna maneno fulan humu mjayatumia ,, Kwa mwanamme muoaji huwa tunawaona km wazenguaji TUUUU ,, ila kwa wanaume wapigaji huwa wanawashabakia sana nakuwaunga mkono.

Kwaufupi ,,,ukiona mwanamme hataki uwe JF nisababu hataki uendelee kuwa vile ,, kwanza anaanza kukufanya ujue majukum yako .... nakama ataamua kukuacha humu basi huwa kuna mambo lazima akuambie kua Hataki ayaone ukiyazungumzia au kuyashabakia .

Ndio maana humu JF ,, kuna wanadada wao kila siku wanaongea mambo muhimu sana nahuwezi kuta anashabikia sijui vibamia sijui hogo .
Lkn pia wamo ambao kuongelea izo mambo kwa wanaona kawaida Lkn kiukweli ndo huwa zinawaharibia credit nakukatisha tamaa waoaji.


Weee nimwanamke unaanza kusema humu ** duuuhhhhhh nmejikuta kisimi kinanisimama au daaahhh mpaka nyege zimenishika *** .


Sasa kwa wanaume makin,,tayar hujafuzu ,,ila kwa wanaume wapigaji ,, atakuunga mkono,, Mara atakuombamo mchezo ,,anapiga show ..mchezo kwisha ,,kesho unakuja kuanzisha Uzi unalia lia humu ...
NAHIVO NDIVO WENGI MLIVYOLIWA NAVIJANA WAHUMU KIUJANJA UJANJA .

nadhan umenielewa mama yangu !!.
hv unadhani nikiwa na mpenzi humu naweza kuchangia vitu ovyoovyo? kwanza huo muda nitautoa wapi? wengine tupo huku kwa sababu ya upweke tu kupoteza muda
 
Sipajui mimi.

Ila hakuna kibamia pale wewe!

Kwani jamaa ni kabila gani?

Teh teh teh.
mimi napenda kibamia so sio issue . the way alivo handsome ni kama hatuendani hivi.halafu ni mjanja mjanja mimi mshamba yaani acha tu majanga
 
hv unadhani nikiwa na mpenzi humu naweza kuchangia vitu ovyoovyo? kwanza huo muda nitautoa wapi? wengine tupo huku kwa sababu ya upweke tu kupoteza muda
Miss natafuta, nataman ungekuaga mshikaji Wangu wakubadilishana mawazo ," wala usingesema hayo ".

Unahisi kwann mshikaji akishakutongoza anaanza kukuuliza baadhi ya historia yako ???.

Sasa amini nakuambia ,,, Unachokisema sasa ndicho kitabaki kukuhukum hata kesho ,, unless kabla ya kesho u declare kwamba umebadilika ..
Take it from me ,, mwanamme wahumu ,akikutongoza ,alafu km unapost nakukoment mambo ya ovyo ,, asipokuambia toka JF atakuambia badili ID , asipokuambia badili ,Atakuambia usiwe unakoment wala kupost ,,, akikuonea sana huruma atakuambia badilika sitaki uwe unakoment ujinga ,, asipokuambia hayo atakuambia ifanye Dunia ijue Mimi nawewe niwapenzi wakweli. .ASIPOKUAMBIA MOJA KTK HAYO ,,HUYO SIO MUOAJI NI MPIGAJI ..MAANA MUOAJI ANATAKA AWE NAMWANAMKE ATAKAYEMFANYA AHESHIMIKE ,NA AWE WAZI KWAKE .
Mabinti wengi mnaotafuta wanaume ,,mnafeli hapa.

*KWANZA MMEAMIN MWANAMME WAMAISHA NIBAHATI ,, SO KWAKO NI FANYA NITAKALO ATAKUJA TUUU*.

*PILI MMEJIKUTA MNATAKA WANAUME WAKUDUMU ( MAISHA ) LKN NYINYI WENYEWE HAMJAJIANDAAA KUA WADUMUJI KTK HAYO MAHUSIANO *

MATOKEO YAKE...

Unapata mwanamme lakini hujui mwanamme wako anataka nn !!!!!.

Kwamaana hiyo ,,sitoshangaa kuendelea kuona nyuzi humu ...Leo *Nashukuru JF imenipa Mume"*

Kesho na ID mpya au iyo iyo ** Wanaume wengine kama hamna mipango nawatu msiwapotezee muda wao*....


Bado tu hujanielewa ????? Nmeongea ukweli usokua na kona nakona wala unafiki.
 
Back
Top Bottom