Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

Kwanini wanaume wa JF hamtaki tukae huku?

I want you to make me feel a Better man ,, I want you to be a woman nayeweza kujiproud of kua naye .
I want you to be the really sign of my love .
Nakuitaji uniwakilishe .,naitaji unifanye nijisikie mwanamme mweny kujiamin zaidi na a comfortable one .

Sasa kwann usibadilike kwa ajili yangu ?? Ukimpenda mtu lazima ubadilike kwa ajili yake .... Lengo lakukuambia achana na JF nisababu nataka kukushape uwe mwanamke unayenifaa zaidi .

That's my simple rule.
Sasa kama anauwezo wa kukumake ufeel better man na mengine mengi kuna haja gani ya kumstopisha jf ilihali hii ndo njia iliyowakutanisha?
 
I want you to make me feel a Better man ,, I want you to be a woman nayeweza kujiproud of kua naye .
I want you to be the really sign of my love .
Nakuitaji uniwakilishe .,naitaji unifanye nijisikie mwanamme mweny kujiamin zaidi na a comfortable one .

Sasa kwann usibadilike kwa ajili yangu ?? Ukimpenda mtu lazima ubadilike kwa ajili yake .... Lengo lakukuambia achana na JF nisababu nataka kukushape uwe mwanamke unayenifaa zaidi .

That's my simple rule.
kwani kukaa kwangu jf unadhani itanifanya nisiwe patner mzuri? if yes why?
 
Sasa kama anauwezo wa kukumake ufeel better man na mengine mengi kuna haja gani ya kumstopisha jf ilihali hii ndo njia iliyowakutanisha?
kuna connection gani ya mahusiano yenu huko na mtu kuwa member wa jamii forums?
 
Back
Top Bottom