Kwanini wanaume wa kichaga hawajui kuandika sms?

Kwanini wanaume wa kichaga hawajui kuandika sms?

Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya *150* [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale

Sent using Jamii Forums mobile app
Shenzi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani tuombe radhi tafadhali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watani zangu bna
Hela ipo .mnamiliki simu Kali ila kuandika sms ni shida.
Yaani ukidate mchaga sahau romantic sms.hata akiandika haina mvuto full macapital letters yamemiksiwa na small letters. Sms yenyewe fupi .
Ila kitu nawapenda ile button ya 150 [emoji16][emoji16]mko mpoa
Pia ni wanaume pekee ambao hamuachi uchakavu
Pia mnajua kuoa sana.yaani wadada ukiona umefulia nenda kwa mchaga hukosi mtoto au mume hawatumii condom wale

Sent using Jamii Forums mobile app
Usi generalise
 
Back
Top Bottom