Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Kwanini wanaume waliooa huacha kuwashirikisha wenza wao kwenye vyanzo vyao vya mapato?

Kifupi ukisha gundua na kuona mmeo hakushirikishi baadhi ya miladi yake yaani kaona Bora hata akifa ipotee kuliko kukuambia wewe ujijue kabisa wewe unamatatizo makubwa Sana .

Ameona kabisa kichwa chako ni bure mzigo tu kwa miguu ila hawezi kukuambia kwa maneno atakuambia kwa vitendo.

Wanawake wengi wenu sio goal oriented mmetanguliza tamaa na ubinafsi mbele ..ndio maana wengi wenu mpo kwenye ndoa kwa ajiri ya kutukamikishia mpango wetu wa kuzaa na mtusaidie kulea watoto Basi.

Pia mwanaume halisi hawezi kuonesha uhalisua wake wote kwa mwanamke ,mwanaume halisi inatakiwa kuto tabirika na kwa mkeo yaani ashindwe kujua wakati gani una pesa na wakati gani hauna na kwa mwezi unapata shi ngapi .

Mwanamke pindi ajuapo uwezo wako ndio kipindi atakacho Anza kukupimanisha uwezo wako na michepuko yake na vi ex vyake na endapo ukazidiwa na hao anao kupimanisha nao Basi dharau zitaanza na kukuona hauna maana. Ndio maana unashauliwa usitabirike kwa mkeo unaweza kuwa na hela nyingi tu ila ukaamua kumkazia kuwa hauna hata Mia na una mlisha dagaa wiki nzima alafu unamlegezea ...hii mbinu itakusaidia hata Kama Kuna siku hauna ukweli.

Pia wanawake wengi wenu sio wavumilivu ...
 
Tunaficha mambo mengi sababu nyie sio wavumilivu kabisa! Kidume unajipinda unaweka akiba inafika hata 10M kwa ajiri ya long run projects,kama kujenga au kuanzisha biashara, mwanamke wako akishajua tu,anaanza kupanga mipango yake,mara hii tv,tuibadilishe,mara sijui hizi sofa zimepitwa na wakati,mara sijui tufanye sherehe ya miaka 2 ya ndoa yetu!

Pia wanawake hua na viherehere,anaweza chukua kile kikaratasi cha Salio,anaenda mringishia rafiki yake huko,yeye hajui kama anakutafutia kifo,maana wanaweza kuipata wazee wa ngwasuma,wakatimba usiku wa manane kuomba salio,bahati mbaya usiwe nalo home liwe bank,wanakuuwa!

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
The great point
 
Kifupi ukisha gundua na kuona mmeo hakushirikishi baadhi ya miladi yake yaani kaona Bora hata akifa ipotee kuliko kukuambia wewe ujijue kabisa wewe unamatatizo makubwa Sana .

Ameona kabisa kichwa chako ni bure mzigo tu kwa miguu ila hawezi kukuambia kwa maneno atakuambia kwa vitendo.
Nimejifunza mengi hapa
 
Back
Top Bottom