Madam secretary
Member
- Mar 6, 2015
- 70
- 221
BaadhiUnamaanisha married man wote ama baadhi yetu?
Ebu tuelezeni kwanza nyie mishahara yenu mnapelekaga wapi maana hatuioniHabari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
Mkeo hudanga pole sanaNyie huwa mkidanga mnaonyesha waume zenu
🙌 😀Akaanza kutoa hela kwenye bukta yake ya ndani.akaniambia.
"Mwanamke usimuoneshe hela"
hii kanuni naitumia mpaka leo.
hahahaha napigia msumari hapa"Mwanamke usimuoneshe hela"
Sababu wake zetu ni wabinafsi sana.Habari Wana jamvi,
Kwa wanaume mliooa naomba kuuliza ni kwanini haumshilikishi mkeo vyanzo vyako vya mapato?? Au ulikua unamshilikisha afu ukaacha why?
Ladies take note
The great pointTunaficha mambo mengi sababu nyie sio wavumilivu kabisa! Kidume unajipinda unaweka akiba inafika hata 10M kwa ajiri ya long run projects,kama kujenga au kuanzisha biashara, mwanamke wako akishajua tu,anaanza kupanga mipango yake,mara hii tv,tuibadilishe,mara sijui hizi sofa zimepitwa na wakati,mara sijui tufanye sherehe ya miaka 2 ya ndoa yetu!
Pia wanawake hua na viherehere,anaweza chukua kile kikaratasi cha Salio,anaenda mringishia rafiki yake huko,yeye hajui kama anakutafutia kifo,maana wanaweza kuipata wazee wa ngwasuma,wakatimba usiku wa manane kuomba salio,bahati mbaya usiwe nalo home liwe bank,wanakuuwa!
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Nimejifunza mengi hapaKifupi ukisha gundua na kuona mmeo hakushirikishi baadhi ya miladi yake yaani kaona Bora hata akifa ipotee kuliko kukuambia wewe ujijue kabisa wewe unamatatizo makubwa Sana .
Ameona kabisa kichwa chako ni bure mzigo tu kwa miguu ila hawezi kukuambia kwa maneno atakuambia kwa vitendo.