Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Nyie wanawake nyie !ina maana mpaka leo hamjui kuwa siku hizi hayo mambo tunayachukulia kama kujisaidia haja ndogo nanyi ndio toilet zetu?
Kwa mistess hii nani anataka mgegedo wa show ?ni mwendo wa kuji distress kwa bao moja then unapiga usingizi ,watu tuko level nyingine ya vipaumbele au hujastukia sikuhuzi men tukipigwa vibuti tinafanya party!
 
Mimi nina umri wa miaka 35, nina miaka 7 kwenye ndoa. Nikijipima sexual stamina yangu miaka 10 ilopita ni tofauti sana na sasa hivi, kama ifuatavyo:

1. Wakati sijaoa nilikuwa sina tabia za umalaya, nilikuwa na girlfriend na tulikuwa tunakutana mara chache sana Kwa kuwa tuliishi miji tofauti Dar/Tanga kwa sababu ya masomo/kazi. Hivyo nilikuwa na katabia ka masturbation. Na hivyo nilikuwa nikikutana na GF wangu nilikuwa napiga bao 1-2, basi nashindwa kuendelea( hii ilichangiwa na sababu ya masturbation na pia over excitation plus over expectation)
2. Baada ya kuoa, sina tabia ya umalaya, na sipigi tena masturbation, na napiga gem kila siku, au kila baada ya siku 1. Niko vizuri kwenye show. Bao la 1 dakika 20, la pili dakika 40 kuwndelea La 3 huchukua muda sana (kukojoa)na mara nyingi wife anakuwa amechoka yuko hoi.
Kwa hiyo sexual stamina inachangiwa na vitu kama hivyo.
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.


amanda cute wewe unaongelea wanaume wa Dar.....wale si wanaume kweli, ni vigarasa tu. Tutafutane tupeana raha, achana na hao vigarasa wa bongo fleva.
 
tatizo lako wewe yaonekana ni gogo hunyumbuliki hata Kidogo sasa mwanamke ukiwa km ngongoti usitegemee mwanaume atakuwa bora tatizo lenu siku hizi viuno vyenu vimekaza kama spring!!shughuli yote unaniachia mimi lazima nichoke eboo Mimi siyo roboti
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Njoo mikoani utawapata,acha kung'ang'ani Dar.
 
Urojorojo sana though my king ni hatareeeeeeeeeeeeeeee haha

Cc Smart911 [emoji85] [emoji85] [emoji87] [emoji87]
 
Mbona uzi huu wanaume hawajajibu ipasavyo wanaruka ruka tu kutwa kutukana wanawake mie kila nikifungua sipati majibu kwanza wakiulizwa baba vipi ndiyo mwisho tayari utasikia wewe mwanamke huriziki ngoja nikutafutie mke wa pili sasa unajiulza pekeyangu hivi huyo wapili akija itakuwaje!![emoji87][emoji87][emoji87][emoji87][emoji87]
 
kwa kweli tunatukanwa sana wanaume jamani siku hizi, wale mnaopata fursa za kutoka na hawa viumbe wa kike please mjitahidi hata kutoa droo maana duuuuuuh unajua mpaka mwanamke anaandika huku ni aibu mazee haina budi kujichunguza ulaji wetu na mazoezi hata mepesi mepesi.
 
Kodi ya nyumba,ada za watoto,chakula na mavazi ya familia,bado ukoo wake unamtegemea, bado na wa mke, ukute na michepuko anayo, mazoezi hakuna, chakula bora hakuna,serikali nayo full stress, hizo nguvu zitatoka wapi!!!!
Mbona wazamani ni saa 12 asubuhi shamba, 12 jioni nyumbani lakini kelele nyingi hazikuwepo tafuta hawa mwendo kasi mijusi ya bure
 
Mtaridhikaje wakati mshazoe dushe za kununua, wengine tunawala ilimradi tu kulipa ela zetu mnazotuchuna, yaani hela zetu mleee na kuliwa mliwe vizuri?
Mi nakula kwa kadri ya hamu yangu
 
Back
Top Bottom