Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Hata iyo mara mbili kuna ambao ni shidaaaa
Ndio shida madem wa kibongo, mtu kukupiga bao tatu mumo kwa mumo huyo atakua katoka jela. Ubaya mko wengi sana Ndio maana wanaume sio goigoi ila chovya chovya.
Mi mmojawapo napiga moja,ila safari yake ndefu saana, mara nyingi lazima mwenza apige yowe km mara 2. Na mie nikipiga yowe baadae basi tumemaliza. Zinabaki storo ndogondogo
 
wanaume wengi tuna underperform siku hizi, hili jambo sio Siri wanaume wenzangu. Hata mm sio yule crucial Man wa miaka mitano iliyopita msema keeling mpenz wa mungu.
Nimejaribu kujitathmini tatizo ni nini mwisho wa siku nimekuja na solutions zifuatazo.
Mosi wanawake wengi mnajisahau, the way you handle us before marriage is not the way you handle us after marriage,hapa naongelea sana sisi wanandoa.
Unakuta kabla ya ndoa tulipokuwa tuna date ulikuwa so active kwenye six by six, your perfume, your g string, bikini and whatever zimebadilika sana..utakuta mdada is so occupied na kazi,tunarudi wote home saa mbili, ukifika kazi zote za home unamuachia house girl, au utakuta mumsup kapitia msosi take away Kwa mangi, anakuambia baby Nina ma file yangu mawili matatu ngoja nizipitie kabla hatujalala, mimo pia namuambia wakati unazipitia ngoja nipige moja mbili tatu hapo jirani, Mara nakuta umelala, nakuonea huruma nakufunika na kukubusu shavuni, good night honey, nawe unajibu thanks darling.
Siku zingine nachelewa kuja home, nikifika nakuta unanisubiri nikifika naoga nakula, nakupa kamoja, kutokana na uchovu unaniambia mume wangu tupumzike tutafanya tena asubui, alfajiri madogo washaamka wanajianda kwenda Shule, mara wanagonga mlango WA chumbani maksudi, baba sisi tunaenda tunawai bus au tunawai namba, haya wanangu ngoja niwape pesa ya shule unawapa, unarud kitandani unamgusa wife anakuambia make it quick muda wa kazini umefika.
Weekend ijumaa mnatoka na mumsap mnapiga vyombo, mnarud Labda saa sita au saba, mko tungi, mnapigana cha kwanza bafuni au baada ya kuoga, kutokana na uchovu mnakoroma chalii, alfajiri saa moja au mbili hivi unampatia mumsap kamoja, Mara huyo sitting kushugulikia mambo ya usafi, the whole week amekuwa bussy na kaz za Ofisini, anasimamia usafi wakiwa na dada, after that wanahamia kufua na masuala ya kifungua kinywa.
Saa sita hivi mambo ya lunch na maswala mengine, saloon, vikoba, vikao vya harusi, baba nae hivyo hivyo, jioni mkirud baba kachelewa kapitia kwa washikaji mnarud saa tatu,anakupa viwili chali mnalala, alfajiri kamoja, watoto mlangoni daddy we are getting late for church .
Mnatoka church, lunch mnakula watoto homework Baada ya hapo mnajiandaa Kwa siku ya kesho job, usiku kamoja au viwili,.
Kwa hili mnategemea bao tano kweli dadazetu?

Duh! This is a vivid Viscous life cycle of many couples. Na mwanaume hapo umejitahidi kuacha makandokando. Ukiyaweka tu basi hata hako kamoja kanakuwa dhaifu sana (Rejea post yangu kuhusu masturbation inavyoathiri nguvu za kiume)
 
Jamani ukipiga vitatu ujue umepoteza nguvu kubwa hivyo ufanisi wa kufanya kazi zakukuongezea kipato utapungua,kimoja cha afya kinatosha(dk 15)
[emoji23] [emoji23] [emoji23] labda awe ni Mke wako..

Ukikutana na mwanamke wa pembeni lazma uonyeshe tofauti ya kutosha
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Kwani vita? Vitatu vyote vya nini?
 
Duh! This is a vivid Viscous life cycle of many couples. Na mwanaume hapo umejitahidi kuacha makandokando. Ukiyaweka tu basi hata hako kamoja kanakuwa dhaifu sana (Rejea post yangu kuhusu masturbation inavyoathiri nguvu za kiume)
Yes mkuu na hapo nimejarubu kufipisha tu.
 
Nyie wanawake nyie !ina maana mpaka leo hamjui kuwa siku hizi hayo mambo tunayachukulia kama kujisaidia haja ndogo nanyi ndio toilet zetu?
Kwa mistess hii nani anataka mgegedo wa show ?ni mwendo wa kuji distress kwa bao moja then unapiga usingizi ,watu tuko level nyingine ya vipaumbele au hujastukia sikuhuzi men tukipigwa vibuti tinafanya party!

Nikupe hela na bado nikuridhishe? Nikipiga kamoja nimetosheka basi nachapa rapa
 
Tatizo HAMPO NATURAL..kuanzia RANGI ZENU...NYWELE...kwakweli mmekosa MVUTO wa ASILI....ni wachache sana WAKIWA na BIKINI wana Mvuto....wengi wenu MNASITIRIWA NA MAWIGI... SKINNY JEANS ....au MADERA TU.....siku ukilitoa hilo DERA LAKE......utatamani UKIMBIE..UTAKAVYOVIKUTA humo ndani SIVYO ULIVYOVITARAJIA kwake KWANN USIWE NA KIWANGO KIBOVU?.... Now WANAWAKE ...wale wa ASILI WAMEPOTEA kabisa..WENGI wanasaidiwa na UPEPO TU..Sidhani km mwanamme akimpata mwanamke anayemtamani atashindwa KUMSUUZA VIZURI...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Kaaaz kwel kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Amanda Cute acha kukariri. Siyo wanaume wote wako hivyo. Tatizo lenu wanawake wa sasa hasa Dar mnafanya biashara kwenye mapenzii. Wewe kama uko na mwanaume wako lazima ujue unamfanyaje awe kwenye form. Sasa wewe unakutana na mwanaume kwa kulapuana juu kwa juu unataka bao 3 za nini? Uliokutana nao ndiyo wanyonge kuna wenzako wanakimbia mabao.
Na kingine wanawake wengi wanafanywa na wanaume wengi hivyo kujenga usugu wa zoezi hilo. Lakini pia wanawake wengi hawajui namna ya kumfanya mwanaume aendelee na kupiga mabao.
Unakutana na mwanaume, umelala kama gogo, tangu anakutayarisha hutayarishiki, huna hamasa unayotengeneza, then jamaa akipiga bao mnaachana kihisia. Wanawake jitahidini kujiweka kimapenzi ili muwafaidi wanaume, vinginevyo mtaishia kulalamika tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mara chache saana huwa nachangia Mada humu ndani,

wewe dada utakuwa hujui nini maana ya mapenzi au kufika kileleni....mimi ni mmoja kati ya wanaume ambao siwezi kupiga goli 3 mfululizo sababu najua madhara yake japo wengine huona sifa

lakini goli langu moja ni sawa na goli 3 maana huwa natanguliza ushindi kwa msichana kabla sijapiga goli hata moja,
tatizo lililopo kwaa wanaume wengi ni kutokujua jinsi ya kumridhusha mwanamke na ndyo maana wanawake wengi wanaona kudungwa goli 3 -4 na mwanaume ndiyo kufika,
kinachotakiwa ni kuridhiana tendo, kuandaana, kuchezeana (mfano unakuda mschana anakuambia siwezi kunyoma hata siku moja) unategemea nn wakati mimi nazama chumvini mpaka unakojoa kabla sijaanza kuingia??

sijazoea kuandika aiseeee!! ningeandika mengi saana
 
Back
Top Bottom