Sana mkuu na wote ni kapa
[emoji2] [emoji1] duh!! HatariTatizo mmekuwa sugu, yaani usuguliwe bao tatu bado hujaridhika!! Hizo nguvu zikielekezwa kwenye shughuli za kuzalisha mali itakuwa faida zaidi.
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.
"MAISHA PESA"Nikupe hela na bado nikuridhishe? Nikipiga kamoja nimetosheka basi nachapa rapa
Njoo mikoani utawapata,acha kung'ang'ani Dar.Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.
Mbona wazamani ni saa 12 asubuhi shamba, 12 jioni nyumbani lakini kelele nyingi hazikuwepo tafuta hawa mwendo kasi mijusi ya bureKodi ya nyumba,ada za watoto,chakula na mavazi ya familia,bado ukoo wake unamtegemea, bado na wa mke, ukute na michepuko anayo, mazoezi hakuna, chakula bora hakuna,serikali nayo full stress, hizo nguvu zitatoka wapi!!!!
Anatafuta wanaume wa aina gani?teh teh
mkuje wanaume mjibu jamani