babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Ndio shida madem wa kibongo, mtu kukupiga bao tatu mumo kwa mumo huyo atakua katoka jela. Ubaya mko wengi sana Ndio maana wanaume sio goigoi ila chovya chovya.Hata iyo mara mbili kuna ambao ni shidaaaa
wanaume wengi tuna underperform siku hizi, hili jambo sio Siri wanaume wenzangu. Hata mm sio yule crucial Man wa miaka mitano iliyopita msema keeling mpenz wa mungu.
Nimejaribu kujitathmini tatizo ni nini mwisho wa siku nimekuja na solutions zifuatazo.
Mosi wanawake wengi mnajisahau, the way you handle us before marriage is not the way you handle us after marriage,hapa naongelea sana sisi wanandoa.
Unakuta kabla ya ndoa tulipokuwa tuna date ulikuwa so active kwenye six by six, your perfume, your g string, bikini and whatever zimebadilika sana..utakuta mdada is so occupied na kazi,tunarudi wote home saa mbili, ukifika kazi zote za home unamuachia house girl, au utakuta mumsup kapitia msosi take away Kwa mangi, anakuambia baby Nina ma file yangu mawili matatu ngoja nizipitie kabla hatujalala, mimo pia namuambia wakati unazipitia ngoja nipige moja mbili tatu hapo jirani, Mara nakuta umelala, nakuonea huruma nakufunika na kukubusu shavuni, good night honey, nawe unajibu thanks darling.
Siku zingine nachelewa kuja home, nikifika nakuta unanisubiri nikifika naoga nakula, nakupa kamoja, kutokana na uchovu unaniambia mume wangu tupumzike tutafanya tena asubui, alfajiri madogo washaamka wanajianda kwenda Shule, mara wanagonga mlango WA chumbani maksudi, baba sisi tunaenda tunawai bus au tunawai namba, haya wanangu ngoja niwape pesa ya shule unawapa, unarud kitandani unamgusa wife anakuambia make it quick muda wa kazini umefika.
Weekend ijumaa mnatoka na mumsap mnapiga vyombo, mnarud Labda saa sita au saba, mko tungi, mnapigana cha kwanza bafuni au baada ya kuoga, kutokana na uchovu mnakoroma chalii, alfajiri saa moja au mbili hivi unampatia mumsap kamoja, Mara huyo sitting kushugulikia mambo ya usafi, the whole week amekuwa bussy na kaz za Ofisini, anasimamia usafi wakiwa na dada, after that wanahamia kufua na masuala ya kifungua kinywa.
Saa sita hivi mambo ya lunch na maswala mengine, saloon, vikoba, vikao vya harusi, baba nae hivyo hivyo, jioni mkirud baba kachelewa kapitia kwa washikaji mnarud saa tatu,anakupa viwili chali mnalala, alfajiri kamoja, watoto mlangoni daddy we are getting late for church .
Mnatoka church, lunch mnakula watoto homework Baada ya hapo mnajiandaa Kwa siku ya kesho job, usiku kamoja au viwili,.
Kwa hili mnategemea bao tano kweli dadazetu?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] labda awe ni Mke wako..Jamani ukipiga vitatu ujue umepoteza nguvu kubwa hivyo ufanisi wa kufanya kazi zakukuongezea kipato utapungua,kimoja cha afya kinatosha(dk 15)
Hiyo avata tuuu mrembo ngachokaa njoo kwa ngosha ule raha maana nitakupa bao tatu mpaka ujambee[emoji13] [emoji13] [emoji13]naaona nyavu zimeguswa zinatikisika tu
Kwani vita? Vitatu vyote vya nini?Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.
Yes mkuu na hapo nimejarubu kufipisha tu.Duh! This is a vivid Viscous life cycle of many couples. Na mwanaume hapo umejitahidi kuacha makandokando. Ukiyaweka tu basi hata hako kamoja kanakuwa dhaifu sana (Rejea post yangu kuhusu masturbation inavyoathiri nguvu za kiume)
Wewe unataka kwenda maratatu yote hiyo ya nini ??
Kwani marambili hautosheki??
Mnataka tukondeane kisa fyokofyoko?
Nyie wanawake nyie !ina maana mpaka leo hamjui kuwa siku hizi hayo mambo tunayachukulia kama kujisaidia haja ndogo nanyi ndio toilet zetu?
Kwa mistess hii nani anataka mgegedo wa show ?ni mwendo wa kuji distress kwa bao moja then unapiga usingizi ,watu tuko level nyingine ya vipaumbele au hujastukia sikuhuzi men tukipigwa vibuti tinafanya party!
Nikupe hela na bado nikuridhishe? Nikipiga kamoja nimetosheka basi nachapa rapa
Kaaaz kwel kwelVilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.
Amanda Cute acha kukariri. Siyo wanaume wote wako hivyo. Tatizo lenu wanawake wa sasa hasa Dar mnafanya biashara kwenye mapenzii. Wewe kama uko na mwanaume wako lazima ujue unamfanyaje awe kwenye form. Sasa wewe unakutana na mwanaume kwa kulapuana juu kwa juu unataka bao 3 za nini? Uliokutana nao ndiyo wanyonge kuna wenzako wanakimbia mabao.Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.