Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Dah!! Yani nyet*** ilinimaliza yan dk 3 tu jamaa katema
 
Tofautisha mwanaume na wanaume wa dar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njooo huku mikoani hutorudia hiyo kauli ya kipuuzi
 
Tatzo mkishapànua miguuu mnazani mmemaliza kila kitu, kwichikwichi ni zaidi ya hvyo, mjitume muonee km mtu afikishi mkoonooo, shida ni kwamba mnakosa vionjoo afu ushirikiano BASHITE.
Naunga mkono hoja
 
Unataka Mara nyingi hivyo, kwani mnaingia gharama gani inayokukera kuwa hutendewi haki.... Yaani kidume kijiue mara zote hizo kisa kukufurahisha wewe, halafu umempiga PESA za kutosha.. Eti unataka akufurahishe,. Unalipia? Acha afanye anachoweza, c kanunua unampangiaje matumizi.... Hiyo ndio shida ya penzi la pesa... Wala msilie... Ila ukiamua kunizawadia, msingi kiuno hadi utapenda.
 
Ngoja aje ajibu
 
Pesa si mnatoa wenyewe kwa viherehere vyenu
 
Kuna siku nilikuwa naongea na mama mmoja ambaye ni Mchungaji. Sasa akawa ananipa elimu ya Kiroho. Katika mazungumzo akagusia mambo mengi ambayo mwanaume unaweza kuwa umefungwa kwa giza bila wewe kujua. Akaniambia utakuta vijana wengi wanapungukiwa nguvu za kiume, unajua kwa nini? Ananiambia wadada wengi siku hizi ni wachawi na washirikina. Wamerithi au kufundishwa hasa na mama zao. Kila mwanamke unayetembea nae, katika ulimwegu wa roho anahesabika kama mkeo na anaweza kudai haki zote ikiwamo na nguvu zako za kiume, kwa sababu kufanya tendo la ndoa ni kufunga mkataba. Anaweza kukutesa kwa kukufanya hanithi ili uwe unamhonga sana kwa kigezo cha kukutunzia siri kwamba una uume legelege. Pia ikitokea mmeachana, wanawake wengi wana roho za visasi, hivyo anaweza kukufunga nguvu zako za kiume, ukawa husimamishi au uko legelege kwa mwanamke yeyote. Kwa hiyo mwanangu, ni kweli chakula kina mchango katika nguvu za kiume, lakini wengi wamefungwa na wanawake waliowahi kutembea nao. Akaniambia kijana akijikuta yumo kwenye hali hii, anapaswa kutubu na kuacha uzinzi kabisa. Jaribu kufikiri umepitia wanawake 12 na kila mmoja amekufunga nguvu zako, je utakuwa na hali gani? Nawasilisha.
 
Tatu zote za nini? Unataka kunitanguliza kaburini mapema, acheni zenu jamani! Hujiulizi kwa nini wanaume wengi wanatangulia na kuacha wajane..mambo yenyewe ndio kama hayo, unang'ang'ana na bao saba chakula chenyewe wali maharage..hah hah kuna kupona hapo? Acha zako bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…