Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Labda unawazungumzia wanaume wa jiji la kaka yetu.
Huku ni bao 2 tu, utatosheka mwenyewe.
Karibu ujionee mwenyewe then utaleta mrejesho.
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.

Haya umeeleweka...je ,uko tayari liandaliwe pambano la huru na mpigaji yeyote ili tupate uthibitisho wa kile ukisemacho??
 
Mtu anadhani akimanua kitu manu manu ndo kazi imeisha...onyesha kiwango kama anavyosemaga best mkuu miss chagga kuwa kwenye mambo hizo mnakuwa mna Fanyana , ila ukiweka dhana kuwa wewe ni wa kufanywa tuuuuu lazima malalamiko hayo uyalete.
So remember that conjugal right is a two way traffic... Na sio kama msumeno ufanyavyo kwa mbao.
Tatzo mkishapànua miguuu mnazani mmemaliza kila kitu, kwichikwichi ni zaidi ya hvyo, mjitume muonee km mtu afikishi mkoonooo, shida ni kwamba mnakosa vionjoo afu ushirikiano BASHITE.
 
Huyo anazungumzia wanaume wa dar ,maana mfumo was maisha unawalazim watumie vyakula visivyo upatia mwili nguvu
 
Alafu mnasema no sex kabla ya marriage,ukiolewa alafu ukakuta hakuridhishi je? Bed performance ipo kwenye CV lazima ujue what you are getting into THUS you must be screwed by most of the best ndo uchague kwa mfano:...
 
Nakugonga kuanzia saa nne hadi saa saba nipo konenani kwako bolo-yanki linafukua ny*g* zako zoote na sikukojolei washaha nikwambie sasa. Alizima bidada moja pale tabora hivohivo kujifanya hatosheki, matokeo yake ilikuwa kwenda haja ndogo hadi nimshikilie nimsindikize na akifika lazima ashike mashavu ya papuchi atanue maana sio kwa moto ule. Kutana na mwanaume sio mvulana. Nikimaliza hapo najua huombi dushe hata mwezi mzima unaskilizia kwanza shubamiiiitii!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji121]
 
acha kelele wewe... mi nawezaje kumridhisha mwanamke anayejiingiza chupa ya bia kwenye k na kuikatikia...!!!!
kwenda huko...!
Wa dizaini hyo unaweza kuta unaingiza ndizi yako tena imenona ila kwake inapwaya kabisa kama hakuna kilichoingia
 
Back
Top Bottom