Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

Leo nimeona video mwanamke kajichomeka hogo zaidi ya lapunda likanasia humo nikachoka hawa binadam hawaridhiki. unakuta mwanaume anahangaika kula karanga, pweza, mihogo sijui vumbi la kongo si bora hizo hela mkafanya Investment
 
Basi tu tumeamua tusijipe stress za kuwaridhisha baada ya nyinyi kuamua kutufanya sisi baba zenu walezi.
Bao moja linatosha kama vipi saganeni wenyewe kwa wenyewe mnatusumbua sana tukiwa na miguvu mingi ya kiume mnatugeuza mabuzi mana akili inawaza papuchi tu bora nguvu zipungue mjifunze kutafuta wenyewe mademu ya siku hizi ukitoka nalo limakupima hisia kwa kushika mashine wakiona inasi sana wanaanza dau linapanda demu akikushika mashine jitahidi kuzuia hisia utaona ana acha malingo yote hata mizinga ya kipumbavu akusumbui mana anajua ajakuteka kihisia
 
Hata iyo mara mbili kuna ambao ni shidaaaa
Inategemea wengine mpaka leo na ndoa zetu lakini kuna mtu alitoa mambo tukiwa Vijana lazima ukumbuke, kuna wanawake bwana wanajua mambo unaweza hisi duniani ni yeye tu, Mwanaume kabla ya ku do unapewa na binti mambo hatari ile Papuchi inategwa angle theta kama umesoma hesabu unajua yaani anaibunia as if,... Wewe hujui Mwanamke mambo, kaa kimya
 
Pamoja na mambo mengine wanawake wa siku hizi na wenyewe ni mtihani mkubwa wa ku sababisha turn off kwenye game....unamuona msichana mzuri kifua kinavutia,tumbo la kawaida ,sura inaita ukifika nae chumbani akisha chojoa ndio unajua kwamba mtindi unatepeta kama lapa ,tumbo limeshikiliwa na tummy belt...makorokoro kibao hapo utaishia kimoja tu cha kutuliza nyege..mashine haisimami tena ukimaliza hicho kimoja. Sasa kutana na mtoto mwenye ushawishi ukimaliza akikugusa tu mashine inadai mwanzo mwisho..
 
Mtoa mada declare interest zako kwanza. Usije ukawa na dimbwi la maji+ ng'onda + uwanja mpya wa taifa + huna joto + huna ushirikiano... Kwa hivyo cjui mashetani watakuridhisha....
 
Utakua unanuka, ka sio k basi mdomo au kikwapa. Au k pana na ina maji.
 
Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.

Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.

Acheni kutuchafua jamani.
Your sample size please!
 
Kama umefanya nao zaid ya mia ntaamini hicho unachosema
Na ikishindikana kabisa njoo kwangu
 
Shunie huyo ni mwanamke au mwanamme ? Mi Sidhani kwamba mwanamke kupigwa bao nyingi ndo kuridhika.... Mi nnachojua kumwandaa mwanamke vya kutosha na baada ya hapo kurefusha safari... Mpaka Abiria aombe mwenyewe kushuka... Aseme mwenyewe 'nimefika naomba kushuka' Hapo "anapewa mizigo yake" anafunguliwa mlango na anashuka.
Failure za wanawake msiziangushie kwa wanaume.

Mtu anajua fika kuwa anaenda kufanya ngono, cha ajabu badala ajiandae yeye atasubiria kuandaliwa!!!!!!

Wakati wa majamboz yeye anafikiria mbinu za kupata password ya ATM card sasa raha itamwingiaje?

Wakati wa majamboz yeye anafanya ulinganifu wa dushe la huyu wa leo na la yule wa jana na juzi na wiki ilyopita!!!!! sasa hapo hisia za utamu atazipataje?

Isiwe tabu jamani UTAMU WA PIPI MATE YAKO.
 
Ila kweli but I nategemea wengine anakufanya kimoja masaa mawili au ma3 hapo utakua ushakojoa kila style hata 10 je unataka jingine la pili basi utakua punda[emoji2][emoji2][emoji2]
 
Back
Top Bottom