ngakotecture
JF-Expert Member
- Dec 30, 2014
- 2,569
- 2,847
Mimi kama unanuka mbwambwa nakuacha 2
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bao moja linatosha kama vipi saganeni wenyewe kwa wenyewe mnatusumbua sana tukiwa na miguvu mingi ya kiume mnatugeuza mabuzi mana akili inawaza papuchi tu bora nguvu zipungue mjifunze kutafuta wenyewe mademu ya siku hizi ukitoka nalo limakupima hisia kwa kushika mashine wakiona inasi sana wanaanza dau linapanda demu akikushika mashine jitahidi kuzuia hisia utaona ana acha malingo yote hata mizinga ya kipumbavu akusumbui mana anajua ajakuteka kihisiaBasi tu tumeamua tusijipe stress za kuwaridhisha baada ya nyinyi kuamua kutufanya sisi baba zenu walezi.
sasa nitapataje gori tatu wakati umelala kama gogo ujitumi mchezonihahahhh
Inategemea wengine mpaka leo na ndoa zetu lakini kuna mtu alitoa mambo tukiwa Vijana lazima ukumbuke, kuna wanawake bwana wanajua mambo unaweza hisi duniani ni yeye tu, Mwanaume kabla ya ku do unapewa na binti mambo hatari ile Papuchi inategwa angle theta kama umesoma hesabu unajua yaani anaibunia as if,... Wewe hujui Mwanamke mambo, kaa kimyaHata iyo mara mbili kuna ambao ni shidaaaa
kujituma ndio kukoje hivyosasa nitapataje gori tatu wakati umelala kama gogo ujitumi mchezoni
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe mkorofi, sasa wakijitokeza wenyewe utajibu kesi.😀😀!!!!hahahaaa hapo mwanaume wa mikoani hajaambulia kitu.
Your sample size please!Vilio vya mashostee vinazidi sana. Kikweli hata mimi imefika mahali naamini kuwa wanaume wale wa shoka wanapungua. Sijui ni stress za maisha au laa ila kiukweli ni wanaume wachache sana mkienda kwenye majambozi akiwa mkavu hajaboost na pombe au dawa za kuongeza nguvu kuunganisha bao 3 imekua ngumu sana.
Unakuta ndiyo kwanza stim zimepanda yeye akiingia tuu huyo kamaliza na uume unalegea kama mlenda. Kiukweli mnatuchafua sana jitahidini kusoma mchezo na kuturidhisha basi punguzeni kula chipsy mayai, kule vyakula vya asili pia inawacost sana maana kutwa kushinda mitandaoni simu imejaa picha za ponograff mnaishia kujichua tuu hili nalo ni tatizo linaadhiri kisaikolojia pia uume unakosa kuwa strong.
Acheni kutuchafua jamani.
Halafu we kila kitu unajifanya hujuikujituma ndio kukoje hivyo
Failure za wanawake msiziangushie kwa wanaume.Shunie huyo ni mwanamke au mwanamme ? Mi Sidhani kwamba mwanamke kupigwa bao nyingi ndo kuridhika.... Mi nnachojua kumwandaa mwanamke vya kutosha na baada ya hapo kurefusha safari... Mpaka Abiria aombe mwenyewe kushuka... Aseme mwenyewe 'nimefika naomba kushuka' Hapo "anapewa mizigo yake" anafunguliwa mlango na anashuka.