Kwanini wanaume wamekua wadhaifu sana kitandani?

mnakataa tatizo wakati mabango ya nguvu za kiume ni mengi kuliko matangazo yote Tz
 
wacha niendelee kuchafua sitaki stress mimi, nikipiga kimoja cha mwendo wa sekunde 20 mtalimbo ukalala na mm nalala 😀😀
 
Miss kitongoji ww uko sawa mwanaume mjanja anamkojolesha mwanamke atakavyo kile cha kwanza masaa mawili au matatu SAA hiyo mwanamke amekojoa Mara kibao mapenzi ni hisia tu
 
Kadri miaka inavyokwenda na mwanadamu nae anabadirika si kina mama wala kinababa, lakini sababu nyingine hata kina mama aka wanawake nao mpaka anafika 30 years tayari anakuwa ametembea na wanaume kadhaa na ukute wanaume wawili ama watatu wa mwanzo performance yao ilikuwa ya kiwango cha juu lazima atakuja kusema wanaume wa siku hizi mbona hivi (sio kama wa awali) kutokana na mwanaume wa 4 kuwa kiwangoless compared na awali, hivyo hivyo wa 5
 
Toa nyege zako hapa. Sema nyie ndo mmebobea mpaka kufika kileleni ni shughuli.
 
Tatizo siyo wanaume. Tatizo ni wanawake kukosa hisia ndo maana wamekuwa wagumu sana kuridhika.
 
Endelea ku-generalize wanaume ipo siku utakutana na mtu atakayekufanya utokwe kamasi na kulia kama unabakwa.

Labda kama wanaume unaokutana nao ni lege lege na walevi ambao hata nguvu hawana
 
Sawa tuwasikia kilio chenu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umesahau lazima akasimulie mtaani kwake
 
Samahani Bro. hiyo picha ya chini huyu jamaa anafanya nini?
 
[emoji13] [emoji13] [emoji13]
 
Hamuwezi kupata vyote! Nyie si mnaangalia pesa,hayo mengine sameheni Tu...Hayataisha haya mpaka mtakapoondoa kigezo cha pesa kwenye mapenzi yenu.
 
Duh afu hii ina ukwel ndani
 
Mkuu Ni Pm tujadil hil kwa kina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…