PSL god
JF-Expert Member
- Nov 18, 2023
- 8,435
- 6,476
Duuh huko machimbo ya malaya hujaulizia?Eeeh ya ufukweni uku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuh huko machimbo ya malaya hujaulizia?Eeeh ya ufukweni uku
Uku walokole wengi kila Kona gate chimbo hamna hukuDuuh huko machimbo ya malaya hujaulizia?
Basi fanya kusafiria masafa ya mbali 😊Uku walokole wengi kila Kona gate chimbo hamna huku
Hahaaa mambo ya p.diddydada si ni wanawake au ni majini?
acha ubaguzi ,wote ni wanawake.
ungehoji why watu wanakula mashoga ungekuwa na logic
Aaaaah mpk wapi😂Basi fanya kusafiria masafa ya mbali 😊
Kinondoni kwa buku 6Aaaaah mpk wapi😂
Weeeeeh uko Kuna robbering kibaoKinondoni kwa buku 6
Acha utoto robbery gani wakati ndo kwangu huku!Weeeeeh uko Kuna robbering kibao
Kwanza ni ngumu mwanamke mmoja kumtosheleza mwanaume kwenye suala la kitandani.. pili wanaume wengi huwa hawana subila kwenye mapenzi, wanataka wakati wote sehemu yoyote. Hivyo wanaume wengi walio owa huwa hawapewi vizuri na wake zao . Unakuta mwanaume ametoka kwenye mihangaiko yake anapitia baa kuywa bia moja . Baada ya hapo dam ina chemka anafikiri akifika nyumbani anakuta mke kalala chakula kiko mezani ,akingia kitandani mke akimugusa anasema kesho sasa nimechoka. Kaangarie chakula mezani. Mme akifikiri shida hizo, anaamuwa kuchukuwa dada powa amalize ham ili akifika nyumbani asisumbuwe mke wake.Habari wanajukwaa,
Kama mnavyoiona swali Katika kichwa hicho Cha habari. Hili ni swala serious sana na watu hulikemea na kutafuta suluhisho bila kujua tatizo.
Kila siku tunaskia mara dadapoa wamekamatwa wapi cjui...ila hatujiulizi why wanaongezeka badala ya kupungua.
So inabidi tuulize, why wanaume hutumia dadapoa. Siulizi kusema vibaya mtu yoyote, coz tunatofautiana Imani, mapenzi, hisia, mitazamo etc. na kutumia dadapoa ni kama kupiga puli hamna mwanaume atakubali ila ndo wengi hufanya kwa siri.
Sipo hapa kujua nani anafanya nini Nataka nipate Sababu tu zinazodhaniwa kufanya wanaume kufata dadapoa. Kwanzia watoto mpaka wababa wenye wake na watoto...madadapoa wengine wana wateja mpaka watano kwa siku.
Kwa nini na Kuna mademu mitaani, maofisini, vyuoni, nyumbani nk. Sababu zinazosemwa ni:
So wanajukwaa, waume kwa wake, why why why? Naomba majibu.
- Kutoridhika na mahusiano au ndoa
- Mapenzi siku hizi ni gharama so hamna tofauti na kununua dadapoa
- Wengine hawaenjoy mademu normal wanapenda mambo mazuri mazito
- Na kadhalika
We unanishawishi ujinga vile havina mzkaAcha utoto robbery gani wakati ndo kwangu huku!
Kuna saa mwili unahitaji kupunguza baadhi ya vitu sasa ukute umekaa zako na mkeo ndani we unatujaza ujinga uku et bora uwe single👊Mapenzi gharama asikwambie mtu kama hujajipata bora uwe single tu