Kwanini wanaume wanaweza kuhudumia wanawake hata watano, wazazi na watoto na bado wakawa sawa lakini wanawake wanashindwa?

Kwanini wanaume wanaweza kuhudumia wanawake hata watano, wazazi na watoto na bado wakawa sawa lakini wanawake wanashindwa?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
20,137
Reaction score
26,189
Kuna siri kubwa imejificha kuhusu pesa.

Haiwezekani wanaume tuweze kuhudumia wapenzi wetu mpaka michepuko, tuhudumie watoto, tuhudumie wazazi, tuhudumie wakwe na mashemeji na bado tukawa sawa lakini kwa wanawake washindwe?

Kama kufanya kazi hata wanawake nao wanafanya tena mnaweza hata mkawa ofisi moja na yeye akawa anapokea pesa ndefu ,akawa pia mbana matumizi mzuri tu na hapo bado hajahongwa lakini mwisho wa siku hatoboi tofauti na sisi wanaume.

Hii ni siri kubwa iliyopo kwenye pesa maana dunia nzima wakitajwa wenye pesa ni sisi wanaume na sio wanawake.

Imekaaje hii?
 
Mwanaume malezi yake analelewa Kama mtoaji na Mtu mwenye Kuongoza..

Ila mwanamke analelewa kama mpokeaji na Mtu mwenye Kuongozwa..

Hapo ndo kuna shida ya Kimfumo.

Ukimpa Mwanamke uongozi bila Backup jiandae kuanguka
 
Mwanaume malezi yake analelewa Kama mtoaji na Mtu mwenye Kuongoza..

Ila mwanamke analelewa kama mpokeaji na Mtu mwenye Kuongozwa..

Hapo ndo kuna shida ya Kimfumo..
Ukimpa Mwanamke uongozi bila Backup jiandae kuanguka
Yeye mpokeaji na bado anafanya kazi kupata cha kwake lakini bado hatoboi

Mwanaume ni mtoaji kwa wengine na anatatua matatizo yake yeye mwenyewe ,na anatoboa vizuri tu unafikiri shida ni nini?

Inafika pahala kuna wanawake wanaingia ndoani tu kutokana anaona hawezi kujigharamia yeye mwenyewe mpaka apate wa kumgharamia mahitaji yake.
 
Wanaume wanakuwa na risk sn kazin mfano mzuri n humu serikalin ambapo mm nipo wanaume wanaiba sn na n mafisadi hatari ila wanawake n waoga mno kwenye mishe izo so mwanaume anaweza fanya risk yyte ya kupata hela ambapo mwanamke hawez ingawa wako sekta moja
 
Wanaume wanakuwa na risk sn kazin mfano mzuri n humu serikalin ambapo mm nipo wanaume wanaiba sn na n mafisadi hatari ila wanawake n waoga mno kwenye mishe izo so mwanaume anaweza fanya risk yyte ya kupata hela ambapo mwanamke hawez ingawa wako sekta moja
Hii inaleta mantiki kwa kiasi fulani.
 
Kama Mungu kweli yupo ! Hii creativity aliyofanya kwa kiumbe mwanaume aseee ni level nyingine ! Nahisi mwanaume aliumbwa asubuhi na huyu jamaa (Mungu) aliandaa notice kwanza akajipa muda , akafanya na majaribio ndo akatoa chuma! Software aliyoinstall kwa mwanaume haishindwi kirahisi 🤣

Baadae ndo ikaja kutolewa copy ya msaidizi ambaye naye hata kama tumempa priority na kumuwezesha na kumpendelea na kumuinua na kumtia moyo na kumlinda kwa kila kitu bado kuna muda heka heka zikipamba moto wanatii , wanakubali kwa hapa ni mwanaume anafit 🤣🤣

We angalia hata vurugu zote za hii dunia ni kiumbe mwanaume ndo mharibifu na msumbufu angalia madictator wote , angalia wabunifu na wagunduzi (kina mama wapo wengi pia ) , wezi wakubwa na wahalifu , hata michezo ya hatari mfano kuna huu mchezo wa kuchapana makofi unaitwa sijui Slap nini huko asee sijaona ligi ya wanawake. Mnazijua vurugu za vikings , kuna wale mapirates, huko kwenye vitasa ni mwendo wa kupasuana.

Tumeumbiwa ugumu na kuhimili mazingira hata yatubane vipi japo ndo kuna asilimia fulani wameamua hawataki asili yao.

Viva wanaume
 
Hii ni social construction history ya centuries, mwanaume ndio ana advantage zaid kwenye system za uchumi wa hii Dunia, mwanamke hata akiwa na hela hatapata connection za kuzalisha kile alichonacho kirahis Kama mwanaume, uchumi wa Dunia umeshikiliwa na mwanaume na Kama ilivo nature ya binadamu wanapeana connection wao kwa wao. Ko mwanamke Ili atoboe lazima awe na backup either kutoka kwenye familia, wazazi au mume/ mpenzi mwenye nguvu kiuchumi. Huu ndio uhalisia
 
Hii ni social construction history ya centuries, mwanaume ndio ana advantage zaid kwenye system za uchumi wa hii Dunia, mwanamke hata akiwa na hela hatapata connection za kuzalisha kile alichonacho kirahis Kama mwanaume, uchumi wa Dunia umeshikiliwa na mwanaume na Kama ilivo nature ya binadamu wanapeana connection wao kwa wao. Ko mwanamke Ili atoboe lazima awe na backup either kutoka kwenye familia, wazazi au mume/ mpenzi mwenye nguvu kiuchumi. Huu ndio uhalisia
Mwanamke anaweza akapata hiyo connection lakini bado asitoboe.
 
Kuna siri kubwa imejificha kuhusu pesa.

Haiwezekani wanaume tuweze kuhudumia wapenzi wetu mpaka michepuko, tuhudumie watoto, tuhudumie wazazi, tuhudumie wakwe na mashemeji na bado tukawa sawa lakini kwa wanawake washindwe?

Kama kufanya kazi hata wanawake nao wanafanya tena mnaweza hata mkawa ofisi moja na yeye akawa anapokea pesa ndefu ,akawa pia mbana matumizi mzuri tu na hapo bado hajahongwa lakini mwisho wa siku hatoboi tofauti na sisi wanaume.

Hii ni siri kubwa iliyopo kwenye pesa maana dunia nzima wakitajwa wenye pesa ni sisi wanaume na sio wanawake.

Imekaaje hii?
Kwa asili kutafuta kwa jasho. Mwanamke hakuumbiwa hivyo. Ndio maana hawawezi wao adhabu yao ni kuzaa kwa uchungu tu. Hayo mengine wanajiongeza kutokana na mahitaji ya nyakati. Lkn hawawezi
 
Back
Top Bottom