Wanaume wanakuwa na risk sn kazin mfano mzuri n humu serikalin ambapo mm nipo wanaume wanaiba sn na n mafisadi hatari ila wanawake n waoga mno kwenye mishe izo so mwanaume anaweza fanya risk yyte ya kupata hela ambapo mwanamke hawez ingawa wako sekta moja
Wanawake gani hao ambao hawaibi, uje nikuonyeshe labda unakutana na wamama wa miaka hiyo ila sio hawa mabinti wa siku hizi wizi ni taaluma yao ya kwanza. Na wanajua kuongeza sifuri plus kulalamika mahitaji yasiyo na ulazima kuliko mtu yoyote yule.
Kwa asili kutafuta kwa jasho. Mwanamke hakuumbiwa hivyo. Ndio maana hawawezi wao adhabu yao ni kuzaa kwa uchungu tu. Hayo mengine wanajiongeza kutokana na mahitaji ya nyakati. Lkn hawawezi
Wanawake gani hao ambao hawaibi, uje nikuonyeshe labda unakutana na wamama wa miaka hiyo ila sio hawa mabinti wa siku hizi wizi ni taaluma yao ya kwanza. Na wanajua kuongeza sifuri plus kulalamika mahitaji yasiyo na ulazima kuliko mtu yoyote yule.