Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Kwaiyo namm sipaki????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume povuuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwaiyo namm sipaki????[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wanaume povuuu
Ngoja nimuulize wifi akinipa jibu nitakujibu.Kwaiyo namm sipaki????
Nami siondoki mpaka jibuNgoja nimuulize wifi akinipa jibu nitakujibu.
Wengine hata kujifuta hakunaUnaoga...
Unajifuta..
Unavaaa...
Then unapaka mafuta sehem zilizowazi
Mwisho.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unataka yameremete kwani yanaenda kufanywa nini?
Wanawake wengi wamebaini kuwa mwanaume unaweza kumkuta anang'aa uso,na sehemu zingine ila makalio yao yamepauka na wengine yanatoka ukurutu kwa sababu ni nadra sana kupaka makalio yao mafuta baada ya kuoga
Ni mjadala nilioukuta saloon moja hapa mjini kati
Wanaume jipakeni mafuta na makalio yenu