Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Aisee niombe radhi.sidangi
Don't worry. I was just joking but it's true
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee niombe radhi.sidangi
Inaelekea ulimsumbua sana, sasa aliwasha full AC ukufe tu ili kukikucha usimsumbue tena na vizinga[emoji23]Katika uzoefu wangu wa sleep over hizi over the years nimenotice wanaume mnapenda baridi Sana yaani Full ac au mfeni usiku kucha.
Sipendi joto ila sipendi baridi. Kuna mchepuko huo kidogo usiku nife kwa pnemonia. Yaani mwili wote kama barafu ukigusa tako kama umeshika barafu yaani
Shida Ni Nini wakuu?
Ndo maana sipendi kulala kwa watu kwa kweli shida tupu.
Na hajalaAione joshua_ok
Aaagh kwa nguvu gani Sasa walizonazo. Kimoja tu hoi anapulizwa hapo mpaka maini
Mkipakiwa mkongo mnasema, mkipigwa kimoja cha afya mnachonga aki ya Nani ninyi wanawake nyie ndo maana Mie siangaliagi SuraAaagh kwa nguvu gani Sasa walizonazo. Kimoja tu hoi anapulizwa hapo mpaka maini
Katika uzoefu wangu wa sleep over hizi over the years nimenotice wanaume mnapenda baridi Sana yaani Full ac au mfeni usiku kucha.
Sipendi joto ila sipendi baridi. Kuna mchepuko huo kidogo usiku nife kwa pnemonia. Yaani mwili wote kama barafu ukigusa kalio kama umeshika barafu yaani.
Shida ni nini wakuu?
Ndo maana sipendi kulala kwa watu kwa kweli shida tupu.
poleni sana mvumilie tu pesa si mnapataBora umesema [emoji23][emoji23][emoji23] yani hio tabia inaniuzi mimi ndo mana silali kwa watu, limtu linawasha feni/AC usiku kucha
mtu unapata mafua hulali yani tabu sana!! Jinsi sipendi baridi hata kwenye Gari la mtu nikipanda nikakuta AC akigoma kutoa nashuka.
Ashua hujui....?Ashua ndo nini?