Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Kwanini wanaume wengi siku hizi hupenda sana kubeba mafuta ya mgando mifukoni?

Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
Hao ni mashoga ndio wanamtindo huo tayari kwa kazi
 
hahahahaha
JF inachukua taswira mpya sasa
 
Sasa we SEMENYA swali gani hilo kwa wanaume ulishindwa kuwauliza hao jamaa zako kwa sababu unasema umewaona au ndo kipodozi chako funguka vizuri SEMENYA wa sauzi
 
Hii Tabia Ilianza Kidogo Sana Ila Kadri Siku Zinavyoenda Sasa Imeota MIZIZI Huku Ikileta Sintofahamu Katika Jamii.

Imegundulika Ya Kwamba Wanaume Wengi Sana Siku Hizi Wameanzisha Tabia Ya Kutembea Kama Siyo Kubeba MAFUTA Ya Mgando Katika Either Mifuko Yao Ya Suruali Or Katika Mabegi Yao Na Kuna Wengine Wameonekana Kabisa Kuwa Hawataki Masihara Ambapo Wao Huyabeba Yakiwa Yamezungushwa Katika Gazeti Kidogo Tu Yakiwa Yamechotwa Na Kuyahifadhi Katika Mifuko Yao Ya Mbele Ya Mashati.

Binafsi Nimekutana Nayo Sana Hii Hali Na Nimejiuliza Maswali Mengi Ni Kwanini au Wanaume Wenzangu Siku Hizi Wamekubwa Na Tatizo Gani Sijapata Jibu. Nawaombeni Ndugu Zanguni Kama Kuna Anayejua Nini Kipo Nyuma Ya Pazia Basi Si Vibaya " Akitiririka " Humu Ili Sote Tujifunze Kwani Yawezekana Kuna TATIZO Kubwa Lililojificha Na Pengine Linahitaji UFUMBUZI Wa Kina Na Wa Haraka Sana.

Karibuni Na Naomba Kuwasilisha.
Dah..., wezi wa mifukoni utawajua tu [emoji4] [emoji4] [emoji481]
 
Ni kawaida kukuta kikopo kidogo cha mafuta ya rays chumbani kaunta au kwenye korido za gesti zetu uswazi, hivi kweli yanatumika kwa matumizi yaliyokusudiwa au kuna la ziada?
 
kumbe ni mafuta ya Rays nilidhani KY! kwani wewe Kizibo 1 hujui matumizi ya mafuta ya mgando ya kupaka mwili wa binadamu?
 
Tatizo lako ni kwamba unawaza ujinga na ukubwa wako wote huo. Kwani ulifikiri yanatumiwa kwa shughuli gani mbali na iliyokusudiwa?
Usilete kashfa tafadhali huo ujinga umewaza wewe sio mimi. Sipendi upuuzi usinichokonoe
 
Back
Top Bottom