Madam vivian original
JF-Expert Member
- Jul 14, 2018
- 503
- 997
- Thread starter
-
- #41
AhsanteKumbadilisha ni suala litachukua muda kidogo,ongea nae kwa hekima mweleze vitu gani akifanya vinakufurahisha mfano,mwambie unapenda kuchat nae anapokuwa mbali na wewe,Mwishoni wa mambo yote ni wakati utakapo kuwa mjamzito,Hapo ndo maliza kila kitu maana huo ndo wakati pekee unaoweza kumlazimisha kuwa romantic na akawa kama unavyotaka!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mafuta tena, hakuna roho ya kuchepuka kuna roho ya uzinzUkianza kuhoji haya ujue roho wa kuchepuka hayupo mbali nawe, unahitaji ibada ya kumpakwa mafuta!
Adui mkubwa wa ustawi wa nyumba yenye mwanamke ni mwanamke mwenyewe...mapenzi ubunifu bi dada, kuwa kahaba kwa mumeo, wewe unampa mapenzi kigalatia galatia huku uki aspect utoe ushirikiano wa kikorea? Badilika huyo ni mumeo mpe kipapatio kabla hajaja kujanjaruka kwa wasiomjua Mungu ukamkosa mazima!
Adui mkubwa wa ustawi wa nyumba yenye mwanamke ni mwanamke mwenyewe...mapenzi ubunifu bi dada, kuwa kahaba kwa mumeo, wewe unampa mapenzi kigalatia galatia huku uki aspect utoe ushirikiano wa kikorea? Badilika huyo ni mumeo mpe kipapatio kabla hajaja kujanjaruka kwa wasiomjua Mungu ukamkosa mazima!
Umeelewa deki ya namna gani? Hahaha madam viviani uwe romantic kdgo basi
we nawehalafu wengi huwanga ni wapole but trust me these people are silent killer 🙄🙄
Umeelewa deki ya namna gani? Hahaha madam viviani uwe romantic kdgo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe sasa unataka kuvunja ndoa! Omba ushauri namna gani unaweza kunwambia mmeo haya maneno umecharaza hapa.Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.
Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.
Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype
2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.
Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,
Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.
Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.
NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,
sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,
Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lipia tangazo
Mama njoo kwangu nakuambia hutajuta na utahisi dunia umeiweka kwenye pochi
Hahahahahaha AMEN kubwaKuwa romantic au kutokuwa romantic ni mbwembwe tu za maisha kama umeshazalishwa shughurika kwa upendo na wanao huyo mzee baba anajiandalia makazi binafsi huko mbinguni si unajua huko mbinguni hamna ndoa, basi uwe mpole tu.
Jina LA I'd yko zuri sna, nataman ungefanana na I'd yko jaman hahahahah
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mm ni sio mzee au mmama hayo yote nimeshayafanya na mume wangu sio mtu mzima ni kijana Ila ndo mtu wa rohon kwake kila kitu sawa tu, upendeze usipendeze yy haimshtui sana sana atakuuliza vp huendi kwenye ibada Leo na mtaongea mambo mengine mpaka umuulize VP bby nimependeza atakwambia yaah umependeza sna.Mwanamke ukiwa ndani ya nyumba yako unatakiwa uwe Kahaba tena Malaya ulie kubuhu
mumeo karudi wewe wala usiongee nae ila muonyeshe kuwa wewe ni expert wa hizo mambo
mvalie viguo hivyo halafu jitie huna habari unavaa hadi akikuangalia anasahau kuna Biblia
ngoja nikuulize swali : Tangu uanze kuishi na mume wako madam,kuna siku yeyote mumeo
karudi nyumbani kutoka kazini akakukuta umependeza hadi akakuuliza haya maswali [emoji116][emoji116]
Leo vipi kuna mahali unaenda saizi? au kuna mahali umetoka?
kama hajawahi kuku uliza hayo maswali tangu muishi wote akirudi anakusalimia anatulia tu
Fahamu kuna loopholes umeziacha wazi zinazofanya hisia za mwenzako kupotelea hapo.
Siku ukikjijua una nyege zako,jikoki Tia jicho wanja hilo hatari hatari
Nukia vibaya mno,vaa kimitego mpk wewe mwenyewe ujimezee mate
Ile mume kaingia tu hiyo siku msalimie na sauti kama una mafua yaliyokosa dawa
humo ndani hiyo siku mfanyie vimbwenga vyote,ukiwa unakata matunda jifanye umejikata
Lia kwa nguvu hadi aje,akija anakuta hamna ila wewe unamwambia umeumia (sauti yake sasa unayomtolea)
Akimaliza kukusaidia wakati unatembea jifanye hata umejikwaa mdondokee kwenye kochi
halafu hakikisha unajidondosha juu ya mboo yake,yani fanya vibweka vyote hamna kumwambia unataka
Mwendo ni huo huo hadi bafuni kudadadeki,huyo mwanaume labda asiwe rijali hv hv hachomoki.