mwanazuoni mgeni
JF-Expert Member
- Sep 11, 2016
- 1,944
- 1,726
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kumbe na yeye hayuko romantic. Hata deki hajui n nnUmeelewa deki ya namna gani? Hahaha madam viviani uwe romantic kdgo basi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nakupa pole , kwa unayopitia ...yanahitaji muda sana ...ila nakumbuka nilipokuwa nasoma theology pale chuo cha lake victoria bible college kuna masomo kwa wana ndoa tulikuwa tukifundishwa
Na wengi wanawake wakilokole wa atoka sanaNawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.
Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.
Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype
2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.
Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,
Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.
Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.
NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,
sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,
Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia nikushauri kitu wanawake ndivyo walivyo ....wanaamini sana mpka wanapitiliza jaribu kukaa naye mwambie kweli Mungu ananafac kubwa katika ndoa na familia
Tutake radhi mkuuu[emoji16][emoji16]
Sent from my iPhone using JamiiForums
Sio kweli , mtu huwa anabadilishwa sana usimkatishe tamaaKiufupi ni kwamba huwezi kumbadilisha. Kubaliana na hali maisha yasonge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu wa hivyo kumsikiliza ni ngumu wanakuwa na majibu ya mkatoNenda kaa nae mzungumze wenyewe,muweke wazi msimfiche, funguka na Kama ni mtu muelewa basi atabadilika.
Hapa jf huta pata suluhu ya hilo tatizo kamwe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sio deki hiyo anayomaanisha uwiii
Kama ni nanga ni nanga tu hata uwe vipi.[emoji44], tena anajifanya yupo busy na kazi zake hukoMwanamke ukiwa ndani ya nyumba yako unatakiwa uwe Kahaba tena Malaya ulie kubuhu
mumeo karudi wewe wala usiongee nae ila muonyeshe kuwa wewe ni expert wa hizo mambo
mvalie viguo hivyo halafu jitie huna habari unavaa hadi akikuangalia anasahau kuna Biblia
ngoja nikuulize swali : Tangu uanze kuishi na mume wako madam,kuna siku yeyote mumeo
karudi nyumbani kutoka kazini akakukuta umependeza hadi akakuuliza haya maswali [emoji116][emoji116]
Leo vipi kuna mahali unaenda saizi? au kuna mahali umetoka?
kama hajawahi kuku uliza hayo maswali tangu muishi wote akirudi anakusalimia anatulia tu
Fahamu kuna loopholes umeziacha wazi zinazofanya hisia za mwenzako kupotelea hapo.
Sasa mumeo,anakujibu asante mke wangu nakupenda pia,ww unataka akujibu nini tena?Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.
Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.
Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype
2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.
Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,
Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.
Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.
NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,
sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,
Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aise hii kali [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uwe unamuwekea tu upupu kidogo wakati wa kulala.. Tukianza kumuwasha washa atakuita umkune kune ndo apo automatically unaanza tumichezo chezo unatotutaka.. Ikishindikana na hapo mpeleke akakanyage mafuta
....[emoji125][emoji125][emoji125]
Sent using Jamii Forums mobile app