Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Kwanini wanaume wengi wa kilokole hawapo romantic?

Usiweke ki ujumla, kuna watumishi wapo vzuri[emoji3][emoji3].

Mli hudhuria mafunzo ya ndoa?? Ikitokea semina za wanandoa nenda naye.. Mtabadilika sana.

Changes[emoji352]
 
Ulimbo,

Mkuu Ulimbo nilisika kuandika ulichoandika kwani niliona kwamba huo ni ukweli ambao usingeweza kumsaidia lolote. Anyway, Mungu turehemu.

Ahsante
 
hamkujuana vizuri wakati wa uchumba wenu, ndio maana wanashauri "marry your best friend", mtu ambae unajua like na dislike zake, unajua reaction zake na unajua ubaya na uzuri wake,
haya ndo madhara ya kuokotana kanisani kisa watumishi afu mnafunga ndoa.

chagueni, mmoja awe kama mwenzie, yaani mmoja wapo abadilike, la sivyo hamtainjoi ndoa yenu Madam vivian original,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu hawezi kukupa vyote mtu wa Mungu!Ridhika na amani uliyonayo
 
Sawa mtumishi wa Mungu kwahiyo unanishaurije dadaako hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nakupa pole , kwa unayopitia ...yanahitaji muda sana ...ila nakumbuka nilipokuwa nasoma theology pale chuo cha lake victoria bible college kuna masomo kwa wana ndoa tulikuwa tukifundishwa

Cha kwanza nachokushauri endelea sana kuomba ili mungu amfungue atambue nafac yake

Halafu zidisheni muda wa kukaaa wawili faragha chumbani au sebleni ...mkifanya hivyo mara kwa mara itaongeza ukaribu zaidi

Ukaribu ndio unaoleta mapinduzi ya kuwa marafiki , PASIPOKUWA NA URAFIKI KWA WANANDOA UJUE KUWA hakutakuwa na romatic yoyote

Tangulizeni urafiki tembeeni pamoja ,jioni zungumzeni mkiwa mnatizamana hiyo inaongeza nafac ya kila mtu kueleza dukuduku lake

sent from toyota Allex
 
Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.

Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.

Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype


2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.

Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,

Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.

Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.

NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,

sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,

Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.


Sent using Jamii Forums mobile app
Na wengi wanawake wakilokole wa atoka sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo unataka kusemaje mtumishi

Sent using Jamii Forums mobile app
Mi pia nikushauri kitu wanawake ndivyo walivyo ....wanaamini sana mpka wanapitiliza jaribu kukaa naye mwambie kweli Mungu ananafac kubwa katika ndoa na familia

Lakini wewe nawe mke wangu badilika unanikwaza , unaponikwaza mm ujue hata maombi yako ni bure nahitaji nafac yako

Kuna muda tumia nguvu mbane asitoke nyumbani mwambie unahitaji kukaa na ww akinuna atanunua tu akiwa hapo seblen lakini ndio mwanzo wa kupona

Ukweli kuna wanawake wanakwaza sana ...mpk unatamani kuowa mke mwingine ........
Tengeneza kwanza saikolojia yake apunguze muda wa kanisa ajaribu kuubalance ongea hata na rafiki zake

sent from toyota Allex
 
Mwanamke ukiwa ndani ya nyumba yako unatakiwa uwe Kahaba tena Malaya ulie kubuhu

mumeo karudi wewe wala usiongee nae ila muonyeshe kuwa wewe ni expert wa hizo mambo

mvalie viguo hivyo halafu jitie huna habari unavaa hadi akikuangalia anasahau kuna Biblia

ngoja nikuulize swali : Tangu uanze kuishi na mume wako madam,kuna siku yeyote mumeo

karudi nyumbani kutoka kazini akakukuta umependeza hadi akakuuliza haya maswali [emoji116][emoji116]

Leo vipi kuna mahali unaenda saizi? au kuna mahali umetoka?

kama hajawahi kuku uliza hayo maswali tangu muishi wote akirudi anakusalimia anatulia tu

Fahamu kuna loopholes umeziacha wazi zinazofanya hisia za mwenzako kupotelea hapo.
Kama ni nanga ni nanga tu hata uwe vipi.[emoji44], tena anajifanya yupo busy na kazi zake huko

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nawasalim wapendwa
Uzi huu unawahusu wanandoa au vijana walioshika dini sna, kiasi kwamba wao hawana habar na mambo yanayoendelea dunian.
Kama, unywaji pombe, kuchepuka, kupenda starehe na company, kupenda music wale ambao wamejitoa maisha yao yote kumtumikia Mungu.

Mume wangu ni mtu wa aina hiyo, kwakweli nashukuru Mungu hatujawah kuzozana habar za kutoaminiana tunaishi kwa aman na furaha tele sababu wote tumekutana tuna hofu ya Mungu.

Tatizo ni moja tu, ambalo linaniumiza mwenzangu hayupo romantic kabisaaa, kwa mfano
1) unaweza ukammiss au ukawa unahamu kuchat na mpz wako kimahaba whatsup ukamtext, nimekumiss mume wangu au nakupenda na malove DAV meng yy akakujibu kwa ufupi tu ahsante mke wangu nakupenda pia..
Ukiendelea labda kumchombeza atakwambia nipo bize tunaongea nikirud, au unaweza ukamtex nimekumiss love akakupigia unasemaje mke wangu nipo bize nimechoka kutaype


2) akirud home ni mskajiwangu tutapiga story tutacheza karata na mambo mengi tu, tukiwa chumban ukitaka cjui kumchezea au kumsumbua sumbua kimahaba anakwambia wife niache nipumzike nimechoka kuna siku aliniambia mke wangu ww ni msumbufu kama unataka c useme nikupe mm nilale nikamwambia ndio nataka basi akanipa unyumba akalala.
Yaan kwa kifupi hana muda na mapenz kwake tendo LA ndoa c lazima yupo bize na famila na mambo ya kanisan na kazi zake.

Kiukweli wanawake sometimes tunapenda kubendelezwa kupetiwa petiwa na kupewa raha,

Sio kwamba kabadilika Ila ndivyo alivyo, na sio kwamba sio mwaminifu ila hayupo hivyo.
Ukitaka unyumba ujirengeshe akupe then mlale mnaweza mkalala pia unamwambia nikumbatie anakwambia mm sipat usingizi mpaka nijifunike shika nilalalie tumbo basi atakjfurahisha dk 5 then anakwambia nataka nilale hiyo anavuta shuka mpaka asbuh.

Nifanyaje niweze mbadilisha mume wangu, awe romantic namm nifurahie mapz, mengi nimejitahid amebadilika lakin kwenye mapz ndo mtihan.

NB:Sihitaji ushuri wa kuambiwa chepuka,

sio wanaume wote kwenye ndoa zao wanachepuka wengine wanajiheahimu na wana hofu ya Mungu,

Na sio kila mwanamke mzur akiwa na chngamoto kwenye ndoa yke solution ni kuchepuka, muda mwingine inabid utafute ufumbuz wa tatizo ili uzidi kujenga nyumba yko.


Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa mumeo,anakujibu asante mke wangu nakupenda pia,ww unataka akujibu nini tena?
Mkitendwa mnaanza kulia lia kua wanaume wote ni wale wale
 
Back
Top Bottom