Kwanini wanaume wengi wachovu kitandani?

mkuu unataka kusema hakuna tatizo linalochangia poor performance kwa upande wa wanaume? let's be fair on this...
utamu wa pipi ni mate yako. kama huna mate huwezi jua utamu wa pipi. nadhani nimeeleweka
 
Yaani watu wengine bwana....yaani unatoa conclusion kwa kuangalia mabango ya waganga wa kienyeji????? Ndio maana uliulizwa ''UMEWAPIMAJE JOMBA???'' maana yake ''NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK OR WRITE. hata kama huko Dar, watu wote wangekuwa waganga wakienyeji na wana mabango ya ''kutibu nguvu za kiume'' unge-coclude nini???
Jitahidi kuwa ''GREAT THINKER''.
 
haya munyapaa wajifya na mada yako nachelewa sana ugujibu lakini arii kaka! wanhecha sana!
 

Kuna njia nyingi za kupata tiba hapa mtoa mada amefanya vitu kuwa general ili mtiririke apate ahueni kwa mbinu mbalimbali
 
namshukuru mungu mpaka hii leo kwa umri wangu wa 30 something i can shoot three times per night,plus taking 25-30 minutes per single round.
 
wanaume wa leo kuiga kwingi ndo kunawaponza mmebadili life style,, hebu kanukuuni wazee wa zamani walikua wanajimudu vipi,,, njoo huku vijijini mfundwe.... ni mtazamo tuu lakini,,, nawasilisha..
 
Mimi naona sababu ya msingi inayofanya vijana wa sikuhizi wafifanye vizuri kitandani..nimfumo wa maisha.
Maisha yamekuwa ya presha na mawazo ya kupata ndoto kubwa. Wanawake wenyewe wanakuwa very demading ( mara anahitaji hiki mara kile) inafanya akili ya mwanamme isi tulie na kufikiria hilo jambo hivyo hufanya tu kutimiza wajibu. Ikumbwe kuwa hicho kitendo kinaongozwa na ubongo ( akili) hivyo isipotulia; performance ikakuwa chini...
Hiyo michango ya mtoa mada inakuwa nyongeza tu
 
Kweli hili tatizo kila mtu ajangilie kwa nafsi yake wanaume hatutaki kuambiwa ukweli japo inauma hili tatizo lipo na linaelekea kuwasugu badala ya kutafuta suluhu tunaishia kuwalaumu wanawake, ohoo ana K kubwa aniridhish na mengine mengi tu. MBAAZI IKIKOSA MAUA HUSINGIZIA JUA . Pls men tuache kusingizia wanawake kila kitu.
 
MAWAZO YANAATHIRI MFUMO MZIMA WA MWILI, KUTOKULA NA KUSHIBA, STRESS ZA FAMILIA...........Pia wanawake wanapasua sana vichwa vyetu.....kufanya kazi bila kupumzika kwa muda mrefu
 
unajidanganya hawa jamaa wakiwa nyumba ndogo ni mwendo wa bao 5-6 kwa wife 1-0.

Angel hapo umenena wanaume wengi mechi za ugenini wanapiga dk 120 za nyumbani dk5 sijui kwasababu kila tukigeuka ipo kila siku? na nyie pia mna jukum la kuwa wabunifu hasa kwenye mapenzi si mnajua sisi ndio kichwa cha nyumba mambo mengi yanatusonga kiasi cha kupitiwa kufanya hilo jukumu kikamilifu.
 
jamani hii ni kweli kabisaaaa, lkn cha ajabu ndani hawezi, (hakuridhishi) ila utakuta anamtaka mwanamke wa nje sasa mi hapo huwa nashindwa kuelewa iwapo ndani tu kimoja kalala, sasa huyo mwingine tena wa nini?
 
Ndio maana ndoa za sasa uaminifu zero...wife haridhishwi anatafuta kidumu...mume akienda kwa kimada anapiga dk 120. Bila bila.


jamani hii ni kweli kabisaaaa, lkn cha ajabu ndani hawezi, (hakuridhishi) ila utakuta anamtaka mwanamke wa nje sasa mi hapo huwa nashindwa kuelewa iwapo ndani tu kimoja kalala, sasa huyo mwingine tena wa nini?
 
hamna hawawezi kokote
wengine tumechezea number zote
tukubali tu ukweli wanaume tulio nao ni mwendo wa 1 bila moja bila
We unacheza na wale jamaa wa vitambi njugu kwanini
usiishie njiani njoo huku kwa watu wa gereji kila siku
tunashinda na vyuma.
 
hii inankumbusha story ya kidume cha nigeria na mdada wa ktz( mpenz wake), huyu mkaka alimkaribisha hy my baby wake nigeria akaenda kumpokea airpot mazungumzo yao yalikuwa hv
girl; this is airpot is very big[
boy; sister, everytin in nigeria is big ( mdada akaona gari)
girl;this car is very big
boy; me i tell you oooh everytin in nigeria is big ooh( walivyofika hoteln)
girl; waoh wt a huge hotel
boy;sister ive already told you ooh everytin in nigeria is huge(walivyoingia room, mnigeria akavua nguo)
girl; waaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaoh wt a giant pen*s...(kwa mshangao na furaha
boy; i told everything in nigeria is big ( mdada akatoa nguo, sebene likaanza)
boy; Madam are you from Nigeria?????????
UOTE=Pota;3390939]akisema mbona kidogo mwambie sikujua kuwa
nakuja kutumbuiza uwanja wa wazi[/QUOTE]
 
[/QUOTE]

sijaelewa
 
hahahaaaaaaaa,
mh pagumu kuelezea lol
maumbile ya chn ya mdada nayo yalikuwa si haba lol......

sijaelewa[/QUOTE]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…