Kwanini Wanaume wengi wanapenda kunyoa kipara?

Kwanini Wanaume wengi wanapenda kunyoa kipara?

Koryo2

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2016
Posts
2,056
Reaction score
2,519
Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.

Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini.

Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
 
Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu. Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini. Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
Ujinga tu unapost
 
Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.

Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini.

Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
Naomba kufahamu huo utafiti wa kusema wengi umeufanya lini, na wengi wangapi kati ya wangapi...
 
Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.

Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini.

Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
Kwani wanawake hawanyoi kipara mbona ndo wanaongoza
 
IMG_0748.jpg

Epuka kunyoa kipara mimi nimenyoa hivi
 
Back
Top Bottom