Ujinga tu unapostWengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu. Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini. Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
Naomba kufahamu huo utafiti wa kusema wengi umeufanya lini, na wengi wangapi kati ya wangapi...Wengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.
Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini.
Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.
Kwani wanawake hawanyoi kipara mbona ndo wanaongozaWengi wa wanaume siku hizi hupenda kunyoa kipara. Nimejiuliza sana lakini sipati jibu.
Mtu mzima na heshima zake hunyoa kipara labda anataka aonekane kijana, labda kichwa chote kimejaa mvi au ameumbwa na upara. Staili ya kunyoa kipara uanzia kwa vijana na hata wenye vyeo Serikalini.
Nawaomba nijue ni sababu zipi hupelekea wanaume wengi kunyoa kipara.