Kwanini wanawake hamna huruma?

Na wewe usimpangie mwenzako,umenunulia simu na bando kwani?pambana na hali yako

Kama unapiga nyeto ni wewe huko,acha alalamike
Mkuu mbona unalia lia sana?

Una tatizo siyo bure
 
The best lesson to teach a person to hv descipline over resources is NOT TO HAVE IT, vinginevyo mtaishia kugombana
 
Kwahiyo kuku wakipewa chakula unateseka? Ulitaka wakule nini, acha wivu na kulialia kizembe tafuta pesa.
We jamaa bhana sijui hujasoma? jamaa kaandika fact tupu..Kwan we familia uliyo toka wazaz wako walichezea chakula ?? Dah...mnaendekeza tabia za Kishamba Sana akat wabongo wengi maisha yetu karibia Yana fanana
 
Hela za matumizi ya chakula humkabidhi zote isipokuwa kuna wakati ananiomba nimletee baadhi ya vitu
Hii tabia tunaipenda tunategea wakati mnarudi lazima tuombe mje na kitu tuu hahaaa. Any way pole mkuu endelea kusisitiza ataacha
 
Umshazaliwa, ukanyonya ukatunzwa km maskini sasa leo umekua na ndevu unaona wanawake hawana Huruma??hana huruma kwakuwa tu haendani na mawazo yako siyo?

nikisema ulikuwa unastahili kunyofolewa hiyo mimba nitakosea? yaani ulikuja bahati mbaya tu humu Duniani!
 
Mna huruma kwa watoto wenu tu, hamna huruma ya moja kwa moja na yeyote!
 
No shade, but mkeo aliwahi kuwa housegirl? Maana hao ndo wana mentality ya vitaletwa tu...
Au anagawa mtaani, au anauza pia... 10ltr ya mafuta per month mhh
Uko sahihi.
Mimi huyu wa kwangu japo nae nimekaa nae mwaka wa 3 huu.
Mwanzoni aliniletea hizo pigo za kupika chakula kingi na kumwaga.
Aiseee nilimuambia nakupa likizo ya wiki moja ukakae kwenu.
Maana kwao hali ya uchumi ni mbaya sana.
Nikamnunulia na vikontena vya buku buku viporo vikibaki anahifadhi, si lazima kesho yake viliwe mara nyingi viporo vinaliwa jumapili mchana na jumatatu mchana.
Alhamdullilah amerekebika na anaelewa.
Mara nyingi kiporo cha wali huwa anaywea chai.
Ugali unapikwa wa kuliwa muda huo.
Akimaliza kusonga kila mtu anawekewa kwenye sahani yake.
Umwagaji chakula ni tabia mbaya sana yaani ovu mno huu ni ujangili wa aina nyingine.
Ninachukia vibaya sana.
Nimekulia kwenye familia iliokuwa inapika mama ntilie, niliona nikiwa mdogo sana watu wanavyokuja kuomba mabaki ya vyakula ya wateja walau wapate kula.
Yaani nilifundishwa mteja akimaliza kula kabakiza chakula nakichukua nakihifadhi vizuri kuna watu walikuwa wanakuja kula na wanashukuru.
 
Maharage watu wanachemsha kwenye gesi wakati mkaa upo. Mtu anaona uvivu kuanza kuwasha mkaa
Maharage yanachemshwa kwenye mkaa au electric pressure cooker.
Tena yanachemshwa ya kupikwa awamu tatu na kuendelea.
Yanapakiwa kwenye vikontena.
Yanawekwa kwenye frizi.
Siku ya kupika anayadefrost tu anaunga πŸ˜‹
Hii inasave bajeti na muda.
 
Kuna wanawake ni kichefuchefu hasa kwenye bajeti ya menu hasa Hawa wanawake mabonge nahisi hata mkeo atakuwa binge nyanya! Kutupa Chakula. Ni dhambi mbaya sana kwanza unajikosesha ridhiki kabisa IPO siku hutakuwa na kitu ndo utajua kile ulichokitupa kina thamani gani? Mwanamke asiye ana uchungu na Mali atakurudisha nyuma kimaendeleo huwezi kusonga mbele ! Sasa badili mfumo wa manunuzi acha kununua vitu vya jumla mletee kila siku kilo moja ya unga na mchele na mafuta ya kupima Ili ashike adabu
 
Halafu ukiongea unaonekana una nongwa!..mimi nkiongea mtu akajinunisha huwa namwambia "siku ukipata majukumu utanielewa"
 
πŸ₯²I feel you ..Saivi ndo nakumbuka enzi tukiwa wadogo mama akiwaekea chakula mkashindwa kumaliza mnapanga mstari mnafungua mdomo mnalishwa kilazima [emoji28]nilikua nachukia ila nimekua sasa namuelewa na naishi na hio mentality.
Apo unakuta unalishwa msosi adi unasinzia na unaamshwa na pande la Kofi .
 
Ulu
Ukiona mwanaume kafanikiwa basi ni akili yakewe
 
Sijui umesoma nilichoandika ama umeishia kusoma kichwa cha habari tu? Kama hukuelewa, sikuwa na maana ya wanawake wote hawana huruma bali wale wenye tabia hizo nilizozitaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…