Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Haha siku hizi na suti zipo.. unapiga koti la Pink na suruali nyeusi chini kabisa moka nyeusi... suruali iwe mnyonyo...Siwezi fanya huo upang'ang'a. Yaani unakuwa kama wale wadada wa promo za BIKO.
Yaani hata jamiiforums.com twitter.com facebook.com Zote ni blue...kwaniniWazungu wametuelekeza,,tena bora mwanamke avae blue kuliko mkaka kuvaa pink. Niliwahi kukutana na mkaka anasimu ya pink,,nilijiskia vibaya sana
kawaida mkuu mbonaBado chini nyeusi...kaanininisiae pink tena
Unavaa at Noon au NightMbona siku hizi kuna ma form six ya Pink ya kiume?? manga za kiume rangi ya Pink zipo tuu...
jioni ndo pw yaani ila lazima chini upige nyeusi.. yaan kiujumla ni usiku..Unavaa at Noon au Night
So u mean ..mchana haupo comfortable ukivaa hivyo hio ndomaana inakuforce uvae usiku...so still why...jioni ndo pw yaani ila lazima chini upige nyeusi.. yaan kiujumla ni usiku..
Habari zetu nzuri@Anti-HackerHabari RAIA wema wa nchi yetu..amabao japo yakua maisha yanazidi kua magumu lakini bado mnapambana na kumwamini rais wetu pamoja na jopo lake lote LA uongozi...........
Niludi kwenye mada Leo nataka tujadili haswa kwa wote wanaofaham nini Chanzo au Sababu iliyopo ya Wanaume(Wavulana) Wengi kupenda rangi ya BLUE[emoji185] na Wanawake(Wasichana) wengine Kupenda rangi ya PINK
Angalizo simaanishi wanawake Wote au Wanaume wote..so kama wewe haupo katika hayo makundi isiwe sababu ya kucomment Povu....
Over
Aah mchana inapauka fasta.. kwan ww mkuu huvaagi ??So u mean ..mchana haupo comfortable ukivaa hivyo hio ndomaana inakuforce uvae usiku...so still why...
Sababu simpo sana...Aah mchana inapauka fasta.. kwan ww mkuu huvaagi ??
Kidogo eniconvince...Habari zetu nzuri@Anti-Hacker
Kwa mtazamo wangu wanawake wanapendeza au wanapendelea rangi ya pink sababu ya kung'aa sana
Tofauti na wanaume wao hupendelea na hupendeza wakivaa nguo zeñye rangi tulivu,zisizo na mng'ao kama blue,light blue.
Mi binafsi napenda sana rangi ya pink,Orange na white,zawadi pia napenda sana za rangi hizo red naipenda kiasi.
hata vyombo,napenda kununua rangi ya pink,nikiiona rangi ya pink roho yangu kwatu.
ouk.. siku hizi mpaka suti zake zipo mkuu.. Wakina chibu wanavaa why sisi??Sababu simpo sana...
Yule had I kikuku anavaa...ouk.. siku hizi mpaka suti zake zipo mkuu.. Wakina chibu wanavaa why sisi??
Haha mkuu hilo swali lipo nje ya uwezo wangu.Kidogo eniconvince...
But bado kwanini na jamii forums walichagua rangi yao iwe blue...
Sio kwamba wanaume wengi wanapenda black?Habari RAIA wema wa nchi yetu..amabao japo yakua maisha yanazidi kua magumu lakini bado mnapambana na kumwamini rais wetu pamoja na jopo lake lote LA uongozi...........
Niludi kwenye mada Leo nataka tujadili haswa kwa wote wanaofaham nini Chanzo au Sababu iliyopo ya Wanaume(Wavulana) Wengi kupenda rangi ya BLUE[emoji185] na Wanawake(Wasichana) wengine Kupenda rangi ya PINK
Angalizo simaanishi wanawake Wote au Wanaume wote..so kama wewe haupo katika hayo makundi isiwe sababu ya kucomment Povu....
Over
Sio Black ni Blue sanasana...japo c woteSio kwamba wanaume wengi wanapenda black?
Mbona kutishana wengine sisi ni wapenzi wa greyIla watu hatari ni wale wanaovaa rangi ya kijivu. Ukikuta mtu anapenda rangi ya kijivu muache kama alivyo tu hutaweza kaa nae kama wewe ni mpenda pink au blue.
So only attraction kwa pande nyingine...hakuna sababu nyingineUkitaka kujiongezea mvuto kwa mwanamke,,,vaa nguo mashat au tisheti za blue au nyekundu .