Anti-Hacker
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 803
- 1,233
Habari RAIA wema wa nchi yetu..amabao japo yakua maisha yanazidi kua magumu lakini bado mnapambana na kumwamini rais wetu pamoja na jopo lake lote LA uongozi...........
Niludi kwenye mada Leo nataka tujadili haswa kwa wote wanaofaham nini Chanzo au Sababu iliyopo ya Wanaume(Wavulana) Wengi kupenda rangi ya BLUE👤 na Wanawake(Wasichana) wengine Kupenda rangi ya PINK
Angalizo simaanishi wanawake Wote au Wanaume wote..so kama wewe haupo katika hayo makundi isiwe sababu ya kucomment Povu....
Over
Niludi kwenye mada Leo nataka tujadili haswa kwa wote wanaofaham nini Chanzo au Sababu iliyopo ya Wanaume(Wavulana) Wengi kupenda rangi ya BLUE👤 na Wanawake(Wasichana) wengine Kupenda rangi ya PINK
Angalizo simaanishi wanawake Wote au Wanaume wote..so kama wewe haupo katika hayo makundi isiwe sababu ya kucomment Povu....
Over