Kwanini wanawake huwa hawaombani pesa kama sisi wanaume ?.

Kwanini wanawake huwa hawaombani pesa kama sisi wanaume ?.

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kwetu wanaume ni suala la kawaida kabisa kusaidiana pesa japo inabidi uwe na hoja ya kuweka msisitizo kwamba una shida ama utairudisha.

Kwa wanawake hali ni tofauti, wao kupeana pesa huwa ni ngumu sana, watachekeana huko lakini kwenye mambo ya fedha pana kigingi
 
Huwajui wanawake...
Kuombana wao pesa ni ishara kushindwa kukamatia "babu jinga moja na kulikamua"..
Kwa wanawake Wengi wa mjini kumiliki "wajinga kadhaa wa kuomba hela wanapohitaji" ni sifa na ishara ya kuwa mwanamke kweli...

Kuna vidume havisumbui kabisa vikiombwa hela na wanawake hata 10... vina toa bila shida..

Next time ukiombwa hela usifikiri umeombwa peke yako...inaweza kuwa uko no 9
 
Back
Top Bottom