Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Kwa sababu hata wanaume hubadilika.
Unaanza kumuona mkeo wa kawaida sana,Sasa kwanini asibadilike?
Unaanza kumuona mkeo wa kawaida sana,Sasa kwanini asibadilike?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
heheh unataka cha mchinga😆😆😆😆😆chizi wewe extro ujue 😅😅
Sio cha mchinga sound
Jipe muda wa kutosha kumjua mchumba kitabia kabla ya kuoa, hiyo ndio solution mbali na hapo utawaona wote pretenderswazee wenzangu
ukiwa na mchumba na umesha mvika petee ongeza umakini zaidi ya awali
wengi wanakuwa wapole sanaa balaaa ukisha muowa yani inakuwa ni kama vita ya jihad
sijui kwanini inakuwa ivyoo
ila kwa wale mnao itana wachumba na hata pete mjavikwa nasema mnafanya umalaya acheni mara mojaaaa
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
😂 😂 😂 😂 😂 dadekiiUchaguzi ukiisha kampeni za nini?
😅😅😅😅😅😅..........extro weweeeeeheheh unataka cha mchinga
Njoo nikubariki basi mtt mtam😅😅😅😅😅😅..........extro weweeeee
Ni vile watu wakiwa wachumba huwa wanajidaganya na ku fake ili wa winiane, sasa wakioana ndani ndio huanza kuonyesha true color, Yani wanakuwa ka wanasiasa kipindi Cha kampeni wakishashinda wanasahau wananchi na kuwatesa juu. Ndio uchumba na ndoa sasa[emoji1787][emoji1787][emoji1787] ila cariha sijui umewaza nini na hilo jibu
[emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] dadekii
[emoji125][emoji125][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
😅😅😅😅 extro punguza Nyasi aiseNjoo nikubariki basi mtt mtam
Wacha wee😅😅😅😅 extro punguza Nyasi aise
Nauona usingizi mazeri 😅😅😅Wacha wee
Sasa si ndio nilitaka tuuone wote, af we mtt una tashtiti jamaniNauona usingizi mazeri 😅😅😅
Bwana harusi Naona unataka kuvuta kamba😅😅Sasa si ndio nilitaka tuuone wote, af we mtt una tashtiti jamani
Yaniii😂😂😂 mjasili aachi asili, we lazima nikamilishe ratiba nawe! Huwezi kuwa mtam af uishi kichoyo tuBwana harusi Naona unataka kuvuta kamba😅😅
Weeee usiniambie unatengeneza mazingira ya kunitafuna🤣🤣🤣🤣Yaniii😂😂😂 mjasili aachi asili, we lazima nikamilishe ratiba nawe! Huwezi kuwa mtam af uishi kichoyo tu
Kwahio mie sistahili kula au, mbona kantima nyongo sasa 😂😂😂Weeee usiniambie unatengeneza mazingira ya kunitafuna🤣🤣🤣🤣
Wacha niendelee kukulwa na huyu anaenikula extro.wewe hapana nashukuru