Wilfred Ramadhan
JF-Expert Member
- Apr 7, 2022
- 503
- 905
Ata kuwaongelea watu bila ruhusa zao sizani kama ni vizuriNi mubaya kuweka mapiya ya batu bila maruhusa yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ata kuwaongelea watu bila ruhusa zao sizani kama ni vizuriNi mubaya kuweka mapiya ya batu bila maruhusa yao.
Jamaa linachukua Malaya wabovu halafu linakuja kuwaanziashia mada .Unakutana na watu wa level yako
Haiko kimahususi, pia mficha marafhi kifo humuumbuaAta kuwaongelea watu bila ruhusa zao sizani kama ni vizuri
Hasa wanapougua mapele hawajui calamine lotion, testmosole, SK DERM Cream, Vaseline herbal, elyclob triple action de creme, wanachukulia poa, mafuta ya Nazi org hawatengenezi, hawajui matumizi ya alovera etc, watanzania wavivu kula matunda na kunywa maji, wanajua kula michipsi tu na mapombeHizo sehemu zina ngozi laini na zipo kwenye joto zaidi.Halafu kwa uasili ni sehemu rahisi kupata madhila ya upele na mikwaruzo/michubuko.Watu wafanye bidii ya usafi,umakini wasiumie,kupunguza matumizi ya kemikali yasiyo lazima na umakini kuepuka madhara.
Imeuma unaitaka droo muhimu pokea elimu, hili tatizo lipo na ni kubwa sana, wanawake wana makovu sana na hawana elimu ya kuondokana nayoWe mtoa mada Una uhakika tackle lako liko soft halina mapele, na hayo mapyuuu hayanuki jasho? Au ndo nyani haoni kundule?
acha udwanzi mbona siwadonyoi sasaJamaa linachukua Malaya wabovu halafu linakuja kuwaanziashia mada .
Jinga sana
huwezi amini wengi watoto wa chuo na wadada ambao unakuta ana kazi yake poa ila hio boda utazani kafuga siafu mwiliniUnawatoaga wapi hao
Siku niliendaga zakhem pub miaka ya nyuma nikakutana na mtoto mweupee wakati huo nilikuwa mlevi haswaa ,nikaenda kumdinya katikati ya genu nasikia mpira umepasuka paa,kuwasha taa namkuta demu kwenye mapaja Kama anamaupele maupele ,nikshisi hapa nishakufa lakini mpaka leo Nipo,Ila huyu alikuwa na mbususu tamu ati
Upgrade your level brohuwezi amini wengi watoto wa chuo na wadada ambao unakuta ana kazi yake poa ila hio boda utazani kafuga siafu mwilini
Miaka hii tutasikia na kuona mengi.Hatimaye tumefikiwa🤣🤣🤣
Level ya kura wake za watu au ipi, zingatia tatizo sio aina dhambi katika tafsiri ya mleta maadaUpgrade your level bro
Usijaribu kuRa wake za watu, utajua hujui.Level ya kura wake za watu au ipi, zingatia tatizo sio aina dhambi katika tafsiri ya mleta maada
Hahahaaa wake za watu ndio wanaliwa sana mbususu by far on daily averagesUsijaribu kuRa wake za watu, utajua hujui.
Haiwezekani kila unayekutana nae yupo hivyo, mbona wenzako wanapata mali safI?
Hili nalo ukalitazame...
Ukorofii huoPicha tuone ukweli