Kwanini wanawake na mabinti wengi wana vipelepele na makovu mwilini hasa kwenye makalio?

Kwanini wanawake na mabinti wengi wana vipelepele na makovu mwilini hasa kwenye makalio?

Siku niliendaga zakhem pub miaka ya nyuma nikakutana na mtoto mweupee wakati huo nilikuwa mlevi haswaa ,nikaenda kumdinya katikati ya genu nasikia mpira umepasuka paa,kuwasha taa namkuta demu kwenye mapaja Kama anamaupele maupele ,nikshisi hapa nishakufa lakini mpaka leo Nipo,Ila huyu alikuwa na mbususu tamu ati
 
Hizo sehemu zina ngozi laini na zipo kwenye joto zaidi.Halafu kwa uasili ni sehemu rahisi kupata madhila ya upele na mikwaruzo/michubuko.Watu wafanye bidii ya usafi,umakini wasiumie,kupunguza matumizi ya kemikali yasiyo lazima na umakini kuepuka madhara.
 
Hizo sehemu zina ngozi laini na zipo kwenye joto zaidi.Halafu kwa uasili ni sehemu rahisi kupata madhila ya upele na mikwaruzo/michubuko.Watu wafanye bidii ya usafi,umakini wasiumie,kupunguza matumizi ya kemikali yasiyo lazima na umakini kuepuka madhara.
Hasa wanapougua mapele hawajui calamine lotion, testmosole, SK DERM Cream, Vaseline herbal, elyclob triple action de creme, wanachukulia poa, mafuta ya Nazi org hawatengenezi, hawajui matumizi ya alovera etc, watanzania wavivu kula matunda na kunywa maji, wanajua kula michipsi tu na mapombe
 
We mtoa mada Una uhakika tackle lako liko soft halina mapele, na hayo mapyuuu hayanuki jasho? Au ndo nyani haoni kundule?
Imeuma unaitaka droo muhimu pokea elimu, hili tatizo lipo na ni kubwa sana, wanawake wana makovu sana na hawana elimu ya kuondokana nayo
 
Siku niliendaga zakhem pub miaka ya nyuma nikakutana na mtoto mweupee wakati huo nilikuwa mlevi haswaa ,nikaenda kumdinya katikati ya genu nasikia mpira umepasuka paa,kuwasha taa namkuta demu kwenye mapaja Kama anamaupele maupele ,nikshisi hapa nishakufa lakini mpaka leo Nipo,Ila huyu alikuwa na mbususu tamu ati

🤣🤣🤣🤣 ajali kazini
 
Usijaribu kuRa wake za watu, utajua hujui.

Haiwezekani kila unayekutana nae yupo hivyo, mbona wenzako wanapata mali safI?
Hili nalo ukalitazame...
Hahahaaa wake za watu ndio wanaliwa sana mbususu by far on daily averages
 
Back
Top Bottom