Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

It takes a woman and a half to have man's attitude.
Kuna vitu ukivipinga kutoka kwa mwanamke ni kupingana na asili ya mwanamke.
Muishi nasi kwa akilii repeat ishi na mwanamke kwa akili.
punguzen ujinga wenzen ulaya sio wanawake
 
Hao mafaller sana
Waniazime hao vidume vyao kwa mwezi mmoja tu waone kama wakirudi wataendelea kuwa walivyokuwa
 
Umeongea sahihi kabisa kama hafikii vigezo vyako ni kupiga chini tu.hakuna namna ukisema sijui atabadilika mbele huko ni uongo
 

Ni wabinafsi Sana Hawa watu[/QUOTE]
 
Huwezi ku solve tatizo kwa kulikimbia, ni kama umelipiga teke tu utakutana nalo mbele ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€!!!

Waliochagua hii route ndio wale genge la kataa ndoa. Kwamba hakuna sababu ya kuendelea kutafta solution bali shortcut ni kuzaa kama mbwa na kukwepa kuoa.
 
Huduma zote za usimamizi wa mume (ila sio kumtawala)
Huduma zote za usimamizi wa home
Huduma zote za usimamizi wa watoto
Na any mgeni atakayeibuka hapo home...
Kazi kubwa ya mwanamke ni kumkamilisha mwanaume na kutimiza maono ya mwanaume. Mwanamke na Mwanaume wanapokuwa kwenye ndoa wote wanahitajiana ili ku balance, isipokuwa kiongozi kwenye ndoa ni mwanaume, na mwanamke atakiwa kutii maomgozo ya mume na mume anatakiwa kumpenda mke wake.. Furahiiii Day njema.. msalimie auncle๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ