punguzen ujinga wenzen ulaya sio wanawakeIt takes a woman and a half to have man's attitude.
Kuna vitu ukivipinga kutoka kwa mwanamke ni kupingana na asili ya mwanamke.
Muishi nasi kwa akilii repeat ishi na mwanamke kwa akili.
Hao mafaller sanaYou are right, uwezo wa kufanya domestic roles ni main quality ya mwanamke wa kiafrika. House chores kama kupika, kufua, kufanya usafi wa mazingira, kulea. These are tied to women ila sasa cha ajabu sikuhizi most of you women are shunning from your roles.
ujengewe sanamu pale posta mpya pembeni ya yule askari wa mchongoTokea pale bustani ya Eden, wakati nyoka au tuseme shetani alipoongea na Eva huko bustani, ni kama nyoka alimshauri Eva mambo mengi zikiwemo roho mbaya na uchoyo.
Mtuvumilie tu, tuliharibiwa na nyoka.
Nlijua tuuu lazima mumpende mstaafu wetuujengewe sanamu pale posta mpya pembeni ya yule askari wa mchongo
Umeongea sahihi kabisa kama hafikii vigezo vyako ni kupiga chini tu.hakuna namna ukisema sijui atabadilika mbele huko ni uongoHahahahahah unakuwa muhanga if you let shit in your life. Wengi tunaingia kwenye mahusiano bila kutanabaisha principles zetu mapema.
Wewe ndio amiri jeshi wa maisha yako, don't invite promiscous and selfish women in your lives. Lay down principles ambaye atafeli kumeet vigezo let go. You have to do this multiple times untill you get a person who matches with your puzzle.
Na bado atataka kazi za nyumbani afanye zote mwanamke kama kawaida.
Utakaposema tusaidiane, atasema hizo ni kazi za mwanamke wakati wote mmerudi mmechoka, wote mnacontribute kipato equally , ila majukumu ya nyumbani Kufua, kupika, watoto nk yote ni ya mama.
Hela hiyo mnipe nitajenga mwenyewe ๐๐ujengewe sanamu pale posta mpya pembeni ya yule askari wa mchongo
Watu wakifuata huu mfumo vilio vitapungua. Bila mkakati mzuri ni ngumu kupata matokeo katika jambo lolote. ๐คฃUmeongea sahihi kabisa kama hafikii vigezo vyako ni kupiga chini tu.hakuna namna ukisema sijui atabadilika mbele huko ni uongo
Mandela Mkombozi hiyo sare hakuipata ingawaje aliweza kuwakomboa matura kibao...Hahahah hivi hata wewe mzee wa living large unalalamika๐!
SwadaktaaaHahahaha watuachee tubaki tu kuwatafuta muda maalumu tukiwahitaj
Usikonde, hela itatokaHela hiyo mnipe nitajenga mwenyewe ๐๐
Si unaona akili zetu eti eeh ?
Naomba nisimamie ujenzi wa sanamu lakoHela hiyo mnipe nitajenga mwenyewe ๐๐
Si unaona akili zetu eti eeh ?
๐บ๐บ๐บ๐บ๐บSwadaktaaa
Huwezi ku solve tatizo kwa kulikimbia, ni kama umelipiga teke tu utakutana nalo mbele ๐๐๐!!!Why are you being pessimistic?
Kama unaamini kupigwa ni lazima, why cant we come up na solution juu ya hili.?
Je ni jambo la ujasiri kukimbia matatizo?
Sisi wote tumezaliwa na mwanamke, na kwa kias kikubwa wengi waliofanikiwa kukulia kwenye familia zenye wazazi wote wawili ni watu ambao wanakua bora sana katika maisha yao.
Kwanini leo sisi tuwanyime vizazi vinavokuja hii asali jus because tumeshindwa kuhandle bad experiences zetu?
Hata mimi nimecheka. Yaani zimepita maelfu ya miaka lakin bado mnasema ni huyu nyoka baada ya kutubu.Mamdenyi nimecheka sana mamangu
Dah ndo umeshindilia msumarii kabisa hahahaha
Yaniii nikavuta na picha nyoka anavyomdanganya hawa na kumshauri awe na roho mbayaHata mimi nimecheka. Yaani zimepita maelfu ya miaka lakin bado mnasema ni huyu nyoka baada ya kutubu.
Shikamoo mamndeny. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Adam alitubu ila Mungu alimgomea.Hata mimi nimecheka. Yaani zimepita maelfu ya miaka lakin bado mnasema ni huyu nyoka baada ya kutubu.
Shikamoo mamndeny. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kazi kubwa ya mwanamke ni kumkamilisha mwanaume na kutimiza maono ya mwanaume. Mwanamke na Mwanaume wanapokuwa kwenye ndoa wote wanahitajiana ili ku balance, isipokuwa kiongozi kwenye ndoa ni mwanaume, na mwanamke atakiwa kutii maomgozo ya mume na mume anatakiwa kumpenda mke wake.. Furahiiii Day njema.. msalimie auncle๐ ๐Huduma zote za usimamizi wa mume (ila sio kumtawala)
Huduma zote za usimamizi wa home
Huduma zote za usimamizi wa watoto
Na any mgeni atakayeibuka hapo home...