Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Hahaha usidanganyike bro, kataa ndoa ipo pale pale.
Hapa nilikuwa nimekumbatiwa na mrembo, sii unajua tena mambo ya cuddling yanakuaminisha ndoa tamu
Ndoa changamoto sana

Ndoa nyingi watu wanafunga ilimradi

Wafunge tu...show off

Wanandoa hawapendani kwa dhati

Wanaishi miezi 6 tu kila mtu anataka ashike njia yake [emoji1]

Ova
 
Ndoa changamoto sana

Ndoa nyingi watu wanafunga ilimradi

Wafunge tu...show off

Wanandoa hawapendani kwa dhati

Wanaishi miezi 6 tu kila mtu anataka ashike njia yake [emoji1]

Ova
Wewe hawa wanawake tuwagegede na kuwazalisha tuu. Kuna mmoja anataka nimzalishe wacha nimpe anachotaka
 
issue siyo kutoa ni kuwa responsible, mbona kwenye vicoba mnatoa? Hizo hela zenu izna pile up tu bank au mnatumia? Sasa kwanini usitumie na familia, huo ni ubinafsi
hela za vikobo huwa zatoka kwa wanaume indirect .... bakishishi ya sokoni, matumizi ya ome, saloon etc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…