Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Kwa hiyo kama anakula na kunywa kwakwo unaruhusiwa kumkosea vyovyote unavyotaka?Kumbuka amekula na kunywa kwako mda wote huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kama anakula na kunywa kwakwo unaruhusiwa kumkosea vyovyote unavyotaka?Kumbuka amekula na kunywa kwako mda wote huo
Ninafaham kadhaa ambao ni wazuri lakin hawajawahi kuchukua penny ya mwanaume.Wanawake wana njaa Sana hata sijui kwanini wapo hivyo
Sure kabisa ,wakiwa na mipunga wanataka freedom 100% ukimbana(ukimuwekea terms) anakumwaga mchana kweupe.Hahahahah wengi akili zao huwatuma kuwa single maana wanakuwa na freedom ya kutunguliwa na yeyote wamtakae.
Biashara asubuhi na mapema, jioni mahesabu[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona leo mmeamka hivii wandugu?
Hii operation isiyo hata na ganzi mbona asubuhi sana ?
😜😜😜Biashara asubuhi na mapema, jioni mahesabu[emoji23][emoji23][emoji23]
Bila kufanya hivyo ndo unawapa chance team fisi kuinjoy kipato cha mkeo na kuvuruga familia.Mwanaume akiwa financially stable anakuwa proud kuhakikisha familia yake inaishi vizuri.
Mwanamke akiwa financially stable, anatamani kuwa huru, kuishi kivyake, hataki bugdha...
It's true, kama mke anafanya kazi basi kipato chake kiwe na mchango kwenye welfare ya familia.
Hongera mkuu kila mmoja analeta kitu mezani ndio raha na inadumisha ndoa. Everybody has to feel kwamba bila familia yake anapoteza. Sio mmoja anaona atapoteza mwengine anaona hana cha kupoteza.Naunga mkono hoja, kuna raia wanasema eti ishini na wanawake kwa akili. Ujue kuiongoza akili ambayo inaamini kwamba Yeye ndio pekee anatakiwa kujaaliwa, kuhudumiwa na Kupendwa ni kazi sana. Kiufupi mimi siwezi, Namshukuru Mungu nina Mke ambaye hana huu upuuzi.
Mke wangu anajitahidi kuoambana kuleta ridhiki nyumbani namimi pia na kwa pamoja tunajikuta tunapiga hatua kidogo na kufurahia maisha kiujumla. Wanawake wachoyo hawafai kabisa
Hivi huko Ulaya hamna child support ya baba kwa mtoto wake huko vijike ni vijike haswa🤔punguzen ujinga wenzen ulaya sio wanawake
Kwanza lazima tujue Mungu hajawahi kusema tuishi kwa akili na mbwa au paka au simba kwanini kasema tuishi kwa akili na wanawake?Naunga mkono hoja, kuna raia wanasema eti ishini na wanawake kwa akili. Ujue kuiongoza akili ambayo inaamini kwamba Yeye ndio pekee anatakiwa kujaaliwa, kuhudumiwa na Kupendwa ni kazi sana. Kiufupi mimi siwezi, Namshukuru Mungu nina Mke ambaye hana huu upuuzi.
Mke wangu anajitahidi kuoambana kuleta ridhiki nyumbani namimi pia na kwa pamoja tunajikuta tunapiga hatua kidogo na kufurahia maisha kiujumla. Wanawake wachoyo hawafai kabisa
Naomba kujua wajameni nyie wanaume wa humu ili niachane na hii mada...mnaongelea wake zenu au michepuko yenu??
its more dangerous kuoa Tanzania, its like a mini death penalty. Mwisho utaumwa pressure, uta paralyse, kisukari, mgongo na sononaKuoa hao wanawake wa kwetu 'its more harmful than good' hata ukiseme ebu ni mvumilie huenda ni kistaafu ata ni tunza, ila wapi pia wastaafu wengi wana kufa mapema kwa kushindwa kuhimili pressure za wake wao, wengine wana uliwa mapema na hao wake zao wengine wana telekezwa kwa sbb mwanamke haiko tayari kuhudumia mtu mwenye shida, wengine wanagawa watoto na unaanza kuchukiwa na wanao wote kumbe mama wao kasha wapandikiza sumu ya chuki .......kwa ufipi oa ila yote mkabidhi Mungu wanawake ni mtihani mkubwa sana
agiza soda baridi hapo kwa mangi, nitalipia.Kwanza lazima tujue Mungu hajawahi kusema tuishi kwa akili na mbwa au paka au simba kwanini kasema tuishi kwa akili na wanawake?
Tangu inception of human being mwanamke ni destructive, alikua wa kwanza kukaidi maagizo ya Mungu na aliadhibiwa
Lakini, kwanini yeye tu ndiye tumeambiwa tuishi naye kwa akili na si viumbe vingine ambavyo, pengine ni vya hatari zaidi, ni kwasababu Mungu anajua she is desctructive.
Uharibifu wote kwenye familia, jamii na kila mahali ata makazini unaletwa na mwanamke (fanya tafiti)
Pia, it is important to know that ata Yesu hakutaka mwanamke, siyo kwamba hakuwa na matamanio, ila alijua atavurugwa.
Kanisa katoliki,, liko ahead of us, linajua destructive nature ya hawa watu ndiyo maana mapadre ni marufuku kuoa
Zamani tulikuwa maboya, walitutesa sana, Sasa kimewarudia.Wanateseka sana hizi zama...pole yao
Kina Kardashian wanapewa best, na mke wa neyo na wengi tu zipo best, child support.Hivi huko Ulaya hamna child support ya baba kwa mtoto wake huko vijike ni vijike haswa[emoji848]
Nimeshaanza balimi bariiiiiiiidiagiza soda baridi hapo kwa mangi, nitalipia.
Tunawapa za uso, kibongo bongo ni kama 100,000/- kwa mwezi mpambane nayo, msipende kufungua miguu kiboyaZamani tulikuwa maboya, walitutesa sana, Sasa kimewarudia.
sawa kaka, leo naona umeamua kuwatolea uvivu.Nimeshaanza balimi bariiiiiiiidi