MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 14,311
- 36,056
- Thread starter
- #21
Kampeni za kataa ndoa msingi wake ni huuUnataka stress kwny mahusiano yako,
Anza kuhoji pesa ya mwanamke wako[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampeni za kataa ndoa msingi wake ni huuUnataka stress kwny mahusiano yako,
Anza kuhoji pesa ya mwanamke wako[emoji4]
Mwanamke anaye invest kwenye family hawezi kukukmbia, anavitu vingi vya kupoteza, thats harsh realities of capitalism.Usije ukamthamini mwanamke hata siku moja, ishi naye mguu mmoja nje.
Unaweza kumhudumia miaka 10 ukaja kufanya kosa moja kubwa akakacha, hawakumbuki fadhila
Mwanamke sahihi husema yeye kwa mumewe kwamba kutokana na jambo fulani, nimepata kiasi fulani cha pesa. Tufanyie nini?Unataka stress kwny mahusiano yako,
Anza kuhoji pesa ya mwanamke wako[emoji4]
Kwa hiyo tuoe single mothers?Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani...
Umewahi kuishiwa senti za kununua hata tembele?Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani...
We toka lini ukawaza kuoa?Kwa hiyo tuoe single mothers?
Ecsctly, na mimi namuambia tumia hizo pesa kwa namna unayoona inafaa, amekua responsible and transparentMwanamke sahihi husema yeye kwa mumewe kwamba kutokana na jambo fulani, nimepata kiasi fulani cha pesa. Tufanyie nini?
Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,Mwanamke anaye invest kwenye family hawezi kukukmbia, anavitu vingi vya kupoteza, thats harsh realities of capitalism.
Amini usiamini ipo siku nitawaalika wana mmmu kwenye harusi yangu. Hilo sina shaka kabisaWe toka lini ukawaza kuoa?
Ha ha ha tunachakata ya ulimwengu na walimwenguMbona leo mmeamka hivii wandugu?
Hii operation isiyo hata na ganzi mbona asubuhi sana ?
Ikiwezekana usioe kabisa, zaa mtoto lea, hawana shukraniKwa hiyo tuoe single mothers?
Sawa wacha nichukue ushauri wako maana kuna mrembo ananiomba nimpe mimbaz atalea mwenyewe mtotoIkiwezekana usioe kabisa, zaa mtoto lea, hawana shukrani
KweliVijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.
Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.
Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.
Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.
Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Asante kwa ku share hiyo experience, visa ni vingi, na mifano ni mingiYupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma...
Mkuu, utapigwa tu mwisho wa siku, soma sababu zote saba, hauchomoiJe kwa kuponda wanawake na kutengeneza defence mechanism tunatatua tatizo??
You can opt to be a fuckboy n.k lakn at sm point in life u gotta settle down. Sasa ukiwa messed up psychologically hii inakua tatizo pia...
Tunakoelekea tutaoa nyaniSipo kwenye kampeni ya kataa ndoa ila uliyoyaongea ni 99% sahihi ila Mwenyezi Mungu alisema tuishi nao hivyo hivyo kwa akili.
-Naongezea mwanamke akiwa financially stable anawaza kuishi peke yake anaona ndoa inambana.