Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Mwanamke anaye invest kwenye family hawezi kukukmbia, anavitu vingi vya kupoteza, thats harsh realities of capitalism.
Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,

Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private

Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.

Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.

Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
 
Vijana mnateseka sana na ndoa. Mnaoa vitoto bikira havina hata akili ya kuwahi kuamka vifanye usafi wa chumba mlicholala. Vinawaza tu kuchati na kwenda kula migahawani.

Tuliooa ma single mother tuna raha zetu. Kabla hujaamka utasikia,, vipi baba neema mbona leo unalala sana, au unaumwa! Maji yanapoa bafuni.

Hapo alishamaliza kudeki na kuosha vyombo, chai iko mezani na nguo ya kuvaa alishakuandalia.

Tatizo siyo mwanamke, tatizo ni aina ya mwanamke uliyemwoa. Mnaagalia wenye misambwanda mikubwa na sura laini. Kumbe kuna watu wanatunza. Akija kwako mnaanza kushindana.

Zingatia uchaguzi sahihi wa mwanamke ili uwe na amani katika ndoa.
Kweli
 
Je kwa kuponda wanawake na kutengeneza defence mechanism tunatatua tatizo?

You can opt to be a fuckboy n.k lakn at sm point in life u gotta settle down. Sasa ukiwa messed up psychologically hii inakua tatizo pia.

Je, what if tukianza mapema kabisa kutengeneza mifumo ndani ya mahusiano ambayo itafuatwa muda wote na wenza wetu? Je hyo sio njia nzuri?

(Angalizo, wanaume wote ni wahanga. No one yuko salama)
 
Back
Top Bottom