Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

Kwanini wanawake ni wabinafsi na wachoyo?

We Acha tu
Hakuna society yoyote ambayo kiasili ilimpa mwanamke jukumu la kutafuta mali...ni pale tu mwanaume alipokengeuka na kujisahau ndipo mwanamke akaona hakuna jinsi akapambame shambani atafutie wanae. Ndio maana jamii zingine mwanaume aliuejisahau anaitwa na kusemwa kwanini hahudumii familia.
Mmmmmmhmn wewe basi utakuwa haujatembea na hauna exposure. Yaani kama haujui vitu ni vema ukauliza au ukaomba kuelimishwa.
 
Je kwa kuponda wanawake na kutengeneza defence mechanism tunatatua tatizo?

You can opt to be a fuckboy n.k lakn at sm point in life u gotta settle down. Sasa ukiwa messed up psychologically hii inakua tatizo pia.

Je, what if tukianza mapema kabisa kutengeneza mifumo ndani ya mahusiano ambayo itafuatwa muda wote na wenza wetu? Je hyo sio njia nzuri?

(Angalizo, wanaume wote ni wahanga. No one yuko salama)
ukitengeneza hii watasema mfumo dume
 
Hao waweka vibase ni misungo
Hivi mwanaume anatimiza wajibu wake....anakutunza wewe na watoto unamletea kibesi kitatoka wapii....huyo anatunzwa kama yai
We unazungumza vitu kinadharia sana. Ila hapa ni jamii forum sehemu ambapo wajuzi wapo na utaelimishwa.

Wanawake wa sasa wengi wengi wao ni hypergamous in nature kutokana na malezo wamekulia na tamaa kuwazidi nguvu. Akikutana na mwanaume mwenye pikipiki akisha kaa nae siku kadhaa ataanza tamani mwenye gari.

Akikutana na mwenye gari atatamani mwenye ndege. Kimsingi unaweza mpa mahitaji yake ya msingi na kusimamia show ila akaja kukucheat na kijana ambaye hayupo busy sababu wewe upo busy kutafuta pesa za kumpatia hayo mahitaji.
 
Muda mwingine ni bora mwanaume aondoke amuache mwanamke na watoto kwenye nyumba maana akiendelea kubaki kinachofuata ni kumlamba makofi na vipigo vya kila siku ambavyo kimsingi ni mbaya zaidi watoto kuona.

Kuna wanawake utajitahidi kuwa mkimya atakuchokonoa kwa kila namna hadi siku umfyatukie na kumtolea hasira kwa kipigo cha maana.

Utajitahidi kumkwepa kwa kuwahi kuondoka asubuhi na mapema kabla hajaanza kufungua mdogo wake na ukitoka kwenye mizunguko yako utapitia Bar,pub au kijiweni ili upotezee muda uende ukute ameshalala ndipo ufike uoge na kulala zako ili kumkwepa.

Mimi huu upuuzi siwezi kukaa nao. Mambo ya kusema nyumba na vilivyopo ndani umemtafutia mwanamke hayo mambo ni ya kiwaki. Mimi nataka niamke kwenye chumba changu kwa amani na utulivu kwa kuamshwa na sauti za ndege na vipepeo asubuhi wakirukaruka kwa furaha kwenye miti sio naamsha na mtu kisirani halafu ile naamka anaanza nisomea list ya matatizo yake kwakweli hii kwangu siwezi ruhusu.

Nataka niamke asubuhi na utulivu wangu mwingi, nasimama kutoka kitandani huku nimedindisha dudu la yuyu, kabla ya yote najinyoosha huku nikisindikiza huo mnyoosho na shuzi moja zito balaa. Kisha naelekea jikoni nipate kikombe cha kahawa yaliyochanganywa na maziwa mazito kisha narejea zangu chumbani straight washroom naenda kukaa kwenye choo nashusha zangu mzigo taratibu huku nikiwa naperuzi mtandaoni nikisoma habari mbali mbali kwa muda usiopungua nusu saa.

Kisha najimwagia maji yangu navaa flana yangu ya nyumbani na tracksuit pants naenda jikoni kujiandalia breakfast [emoji1642][emoji505] kisha nakwenda kuketi sebuleni natazama habari DSTV taratibu nikitafuna breakfast yangu then mdogo mdogo nikimaliza naenda vaa nakwenda sasa huko Duniani kufatuta pesa ilipojificha.

Sasa aje mwanamke aanze kunivurugia huu utaratibu tutakosana. Aidha achague kuheshimu huu utaratibu na kunitafutia namba bora ya kufanya nizidi kupapenda hapo ndani pamoja na yeye akiwapo au apeleke huo usumbufu wake pahala kwingineko mimi upuuzi sipendi.
Ila the way unawasilisha hoja yako Ni Kama fairy tales......eti unaamshwa na vipepeo na ndege,Mara shuzi zito,Mara kahawa ya maziwa mazito,Mara DSTV....
.. Hivi ndio wanaume wetu wa siku hizi mnavyowaza?tuna safari Sana aisee
 
Wanakuwa kwenye majukumu mengine, au pengine wapo hapo hapo shambani nao wanalima na wake zao. Naona unataka kutoka kwenye msingi wa hoja ya jamaa. Amesema swala ni wanawake kuwa mashambani wakifanya kazi za uzalishaji. Sijui umeelewa?
Sijamuelewa mleta mada Wala Wewe
 
Mwanamke ana vitu vingi vya kufanya kuliko mwanaume, mwanamke AMEELEMEWA na majukumu....Imagine abebe mimba,anyonyeshe mchana na usiku,afue nguo zako na za watoto wako,apike chakula,usafi wa kaya,jamani nyie watu hebu kuweni na utu..... watu mnafuliwa Hadi boxer lakin bado tu mnaona mwanamke so kitu?
Unaongea kama hayo majukumu analazimishwa kufanya au labda ni majukumu ya mtu mwingine. Kama unaona ni kazi then acha tu usifanye.

Why wanawake mnajazwa fikra potofu kuwa hayo majukumu uliyotaja si wajibu wenu na kuyafanya au kuyatekeleza ni kumfaidisha mwanaume au ni favour kwa mwanaume?!


Tena umepigia mstari neno KUELEMEWA, Okay tufanye hayo majukumu si ya lazima, niambie majukumu ya mwanamke kwenye NDOA yaani unipe list sema haya anatakiwa kufanya mwanamke bila shuruti.

Unajua ndio maana wanaume wanasema wanawake ni wabinafsi na mnaroho za unyimi sababu katika maelezo yenu mnajichanganya.

Sasa wewe nikuulize, usipokutana na mwanaume si bado utazaa tu tena hovyo na wanaume za watu muda mwingine?!

Haya inamaana wewe ukiishi mwenyewe hautapika chakula iweje ukikaa na mwanaume useme unampikia wewe hauli hicho chakula utakachompikia au ?

Analalamikia kubeba mimba, hivi wewe mwanaume amepewa tumbo la uzazi, hivi mnadhani wanaume wangekuwa wanaweza kuzaa hata na mbuzi sijui ni wanaume wangapi wangezaa na ninyi wanawake sababu ya hizi akili zenu. Hao watoto wenyewe mnaozaa mwisho wa siku si ndio hao hao mnawang'ang'ania baadae ili waje kuwasaidia sasa hapo mnabeba ujauzito kwaajiri yetu au kwaajiri yenu binafsi?

Kama unaonq kufua ni issue acha wacha mwanaume apeleke kwa dobi au aajiri House girl aje kumsaidia hizo kazi.
 
Unaongea kama hayo majukumu analazimishwa kufanya au labda ni majukumu ya mtu mwingine. Kama unaona ni kazi then acha tu usifanye.

Why wanawake mnajazwa fikra potofu kuwa hayo majukumu uliyotaja si wajibu wenu na kuyafanya au kuyatekeleza ni kumfaidisha mwanaume au ni favour kwa mwanaume?!


Okay tufanye hayo majukumu si ya lazima, niambie majukumu ya mwanamke kwenye NDOA.
Nionyeshe Wapi nimesema hayo majukumu si ya mwanamke?zaidi ya kusema mwanamke ana majukumu mengi na AMEELEMEWA.
 
It takes a woman and a half to have man's attitude.

Kuna vitu ukivipinga kutoka kwa mwanamke ni kupingana na asili ya mwanamke.

Muishi nasi kwa akilii repeat ishi na mwanamke kwa akili.
Mwenye akili hawezi kuishi na mwanamke,wote wanaoishi na waliofanikiwa kuishi na Wanawake hawana akili kiuhalisia.

Hamna mgunduzi hata mmoja aliwahi kuishi na mwanamke,na wagunduzi ndio watu kwenye akili.
 
Wanaumeee mnaongeaaa sanaaa jamani ni ndoaaa tuu au Kuna menginee?...inafikaa kipindi hata hatuelewi excatly mnacholalamikaaa...Hebu tumalizee tofauti zetuu basi
 
Wanaumeee mnaongeaaa sanaaa jamani ni ndoaaa tuu au Kuna menginee?...inafikaa kipindi hata hatuelewi excatly mnacholalamikaaa...Hebu tumalizee tofauti zetuu basi
Kizazi Cha malalamiko
 
Kuweni positive bana
Hii mbegu mnayoipanda madhara yake ni makubwa kuliko faida kwa vizazi vijavyo
Yaaaan inashangazaaa kidogooo...wasipojiangaliaa wanawakee watatake over shauri yaooo...Na vile wanawake wa kileoo wasivyorudi nyumaaaa
 
Sawa naelewa hili. Lakoni tumeangalia impact ya hiyo experience.
Kwa mfano wewe uwe mzazi wa mwanao, i think experiences zako zingetumika vyema zaidi katika kujitahidi kumuonyesha mwanao jinsi ya kuepuka kupatana na experience ngumu kama zako.
Vivyo hivyo, ukiangalia the sharing ya experience kwa hawa vijana wanaochipukia sidhani kama ni positive. Mostly imefocus kwenye kuwaonyesha ubaya wa ndoa na wanawake kwa ujumla and at the same time tunahangaika kuwaaminisha kua ni vyema wawe vitombi zaidi..
Tunasahau pia sisi wanaume tutazaa mabinti ambao they have to deal with these same toxic men (ambao tumewatengeneza wenyewe through experiences zetu). So presha inakua mara mbili maana sidhan kama kuna mtu anataka mwanae wa kike ateseke.
TUnaziba tundu la panya kwa mkate. Very hopeless.
And hopeless indeed jaman khaaa!!!...utafikirii Kuna duniaa nyingineee watuu wataishii bwanaaa kumbee ni hii hiii...tunayoibomoaaa kwa mindset za hovyoo
 
Why are you being pessimistic?
Kama unaamini kupigwa ni lazima, why cant we come up na solution juu ya hili.?
Je ni jambo la ujasiri kukimbia matatizo?
Sisi wote tumezaliwa na mwanamke, na kwa kias kikubwa wengi waliofanikiwa kukulia kwenye familia zenye wazazi wote wawili ni watu ambao wanakua bora sana katika maisha yao.
Kwanini leo sisi tuwanyime vizazi vinavokuja hii asali jus because tumeshindwa kuhandle bad experiences zetu?
Na wakujibuu hayaa maswali aiseeee
 
Malalamiko fc and mafurushi at the beat🤣🤣🤣🤣
 
Yupo rafiki yangu alikuwa na gf wake toka 2014, icho kipindi huyo dada alikuwa anasoma,

Wameenda, huyo dada kamaliza chuo maswala ya afya bahati mbaya kakutana na upepo wa kukosa ajira sasa ikabidi jamaa ampambanie apate kibarua private

Hapo wanaishi kwa msela, msela anamlea kama mtoto wake vile.

Baada ya kupata kazi akamchana msela kuwa hajawahi kumsaidia chochote na akamtema.

Hivyo ndivyo wanawake walivyo.
Lazima laana imwandame
 
Mwanamke humfanya mwanaume km stepping stone tu na sio vinginevyo, wanaposema wanataka uishi nao kwa akili utambue kua wewe ni km sehemu ya mapito tu kwa mwanamke sio sehemu ya kudumu anytime anaweza akamuv on na akakuacha solemba na hapo ushajipiga sana kwa ajili yake
Hawa wanataka kutuchekecha tu hapa. Eti tuishi nao kwa akili. Kwani hizo akili sisi hatuzihitaji kufanya biashara na mambo mengine ya maendeleo?

Yaani kitendo cha kusema "ISHI NAO KWA AKILI" maana yake huo ni mtego ni sawa na kukaa chumba kimoja na Silver Back gorilla [emoji1664] kwenye chumba kimoja. Chafya tu inatosha kumtibua aamke na kushika mikono yako huku na huku kisha akutatue kama kanga chakavu.
 
Back
Top Bottom