Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
aisee inawezekana maana imekua ni shida huku mtaani utaona anapita na skin tigh....tak"' lote linaonekanaWanaume wame adimika hivyo wanawake wanafanya hivyo hili kuongeza mvuto hasa gym na kwenye kuogelea kupata vidume
khy ina maana kama mtu huna demu yale ndo maeneo ya kwenda kutafuta totozWanaume wame adimika hivyo wanawake wanafanya hivyo hili kuongeza mvuto hasa gym na kwenye kuogelea kupata vidume
tukinenepa keleee... tukizoezikaa mnaleta ukuda.! mkoje ninyi mbona hamueleweki kama karata dume?
wengine wako humu jamvini ndo maana tumeleta:mullet:Ukiwaona waulize sie hatuna majibu maana mtaleta mambo kibao ambayo hayana hata maana
wengine wako humu jamvini ndo maana tumeleta:mullet:
habarii wadau, imekua ni kawaida cku hz kuona mademu wengi wanapenda kwenda kuogelea kwenye mahoteli, vilevile wengine wanapenda kwenda gym kuchukua mazoez au hata wengine kufanya joging,,,hv kuna kitu kimejificha nyuma yao au ni kawaida tu
aisee inawezekana maana imekua ni shida huku mtaani utaona anapita na skin tigh....tak"' lote linaonekana
lakin naskia vilevile mazoez yanawafanya waende wawe wepesi wakati wa ku doMavyakula haya ya siku hizi miili inaumuka ovyo ovyo unakuta mtu tumbo na kiuno viko pamoja anagundua njia sahihi ya kumshape ni zoezi