Kwanini wanawake tunachukiana sana?

Kuongeza tu ni kwamba.

BBF wanashare mwanamme mmoja na wanaendelea tu kama kawaida. Mmoja tu ndo hujua na mwingine huwa hajui.
 

[emoji848][emoji848][emoji848]
 
sababu kubwa ya wanawake kuchukiana ni kutokana na mfumo dume ambao sababu yake kuu ni mila na dini.
 
Mwanamke unaanzaje kuhamia kuwa na marafiki wa kiume kuliko wanawake wenzio...Sio Siri hilo ni pigo kwa mpenzi wako km akijua na wala hatakiw kukuunga mkono kwa hilo

Ila kiukweli wanawake kwa wanawake ni wanafki by nature(kiasili) hiyo ndio asili yenu tofauti na sisi wanaume

Kwa sisi wanaume ukiwa na tabia hizo za kike za kisnichi tunakukacha mapm na tunakupa makavu laivuuu
 
Kwenye customer care wanawake wanaharibu sana sometimes hata kukimbiza wateja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…