Kwanini wanawake wa kiarabu (machotara) wa Tabora, Shinyanga hawachangamani na jamii?

Kwanini wanawake wa kiarabu (machotara) wa Tabora, Shinyanga hawachangamani na jamii?

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu.

Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana kabisa na wabantu, wengi wapo Sikonge, Igunga, Ngega, Tinde, Itobo, n.k

Yani wao ni ndani tu mda wote, ikifika jioni jioni huko ndio unawaona wanenda sokoni, wanauza maandazi nje ya nyumba, n.k. hata hali zao za uchumi ni za mawaida tu.

Wengi wanepigwa pin wasitumie mitandao ya kijamii mithili ya wanavyofungiwa ndani.

Nakumbuka rafiki yangu alienda kikazi huko Sikonge wiki 1, alifanya jitihada kuzoeana na mmoja wao, aliporudi huku alimtumia nauli aje kwake, jamaa hakuja kazini siku 4 mfululizo anasingizia anaumwa 😂😂, binti aliporudi kwao nae ndio akaanza kuja kazini.

Tatizo liko wapi aisee??
 
Mm kuna picha ya utoto tupo Tabora, mashangaz mama wadogo wamepiga picha wapo wanapika kwenye jiko la kuni,pembeni kuna mtoto wa kizungu ana nywele hadi mgongoni yupo peku peku kachafuka kwa kucheza.

Ile picha niki angaliaga sipati majibu,nataman nijue yupo wapi yule binti,kwa sasa atakua na miaka 28-30.
 
Mm kuna picha ya utoto tupo tabora,mashangaz mama wadogo wamepiga picha wapo wanapika kwenye jiko la kuni,pembeni kuna mtoto wa kizungu ana nywele hadi mgongoni yupo peku peku kachafuka kwa kucheza.

Ile picha niki angaliaga sipati majibu,nataman nijue yupo wapi yule binti,kwa sasa atakua na miaka 28-30.
Si uwaulize mashangazi
 
Tatizo lilianza jana walilofungwa na Nigeria🇳🇬 ......wengi wao wanarithi tabia walizo nazo wakubwa wao maana unaambiwa bora uhamishe mlima hasa wa Kilimanjaro kuliko kubarisha tabia ya mtu
Kuna muda huwa nashindwa hata kuelewa kama hawa ni wenzetu.

Sizungumzii waarabu original wale wa Oman, Dubai, n.k ni hawa waarabu wa hapa hapa bongo wengi wakiwa machotara waliochanganyikana kabisa na wabantu, wengi wapo Sikonge, Igunga, Ngega, Tinde, Itobo, n.k

Yani wao ni ndani tu mda wote, ikifika jioni jioni huko ndio unawaona wanenda sokoni, wanauza maandazi nje ya nyumba, n.k. hata hali zao za uchumi ni za mawaida tu.

Wengi wanepigwa pin wasitumie mitandao ya kijamii mithili ya wanavyofungiwa ndani.

Nakumbuka rafiki yangu alienda kikazi huko Sikonge wiki 1, alifanya jitihada kuzoeana na mmoja wao, aliporudi huku alimtumia nauli aje kwake, jamaa hakuja kazini siku 4 mfululizo anasingizia anaumwa 😂😂, binti aliporudi kwao nae ndio akaanza kuja kazini.

Tatizo liko wapi aisee??
 
Mwenzio katuma nauli kala mzigo Siku 4 hata kazini hajaenda halafu wewe unajiuliza unakwama wapi?
Tuma nauli jombaaa na wewe ujipigie mbususu ya kimanga.
 
Back
Top Bottom